Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g03 12/22 uku. 31
  • Faharisi ya Buku la 84 la Amkeni!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Buku la 84 la Amkeni!
  • Amkeni!—2003
  • Vichwa vidogo
  • AFYA NA TIBA
  • DINI
  • MAHUSIANO YA WANADAMU
  • MAMBO MENGINE
  • MAONI YA BIBLIA
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MATUKIO NA HALI ZA ULIMWENGU
  • NCHI NA WATU
  • SAYANSI
  • VIJANA HUULIZA
  • WANYAMA NA MIMEA
Amkeni!—2003
g03 12/22 uku. 31

Faharisi ya Buku la 84 la Amkeni!

AFYA NA TIBA

Bafu la Mvuke, 7/22

Kijiti cha Kusugua Meno, 9/8

Kisukari, 5/8

Kufanya Mimba Yako Iwe Salama Zaidi, 1/8

Kulala, 3/22

Kunenepa Kupita Kiasi, 4/8

Kushuka Moyo Baada ya Kujifungua, 6/8

Maamuzi Yanayoathiri Afya Yako, 8/22

Magonjwa Yanayoambukizwa na Wadudu, 5/22

Maji, 6/8

Mimea Hutumiwa Kutengeneza Dawa, 12/22

Mitishamba, 12/22

Mtoto Anapopata Homa, 12/8

Njia Sita za Kutunza Afya, 9/22

Sabuni Ni “Chanjo,” 11/22

Ugonjwa wa Mfumo wa Neva, 11/22

Unahitaji Usingizi! 1/22

Utapiamlo, 2/22

Viini Sugu, 10/22

DINI

Hekaya Iliyotia Mizizi (Krismasi), 5/8

Jina la Mungu Kwenye Jumba la Kifalme (Slovakia), 12/8

Jina la Yehova Huko Pasifiki, 10/22

Kitabu Kinachopinga Vitabu Vingine (Kanisa Katoliki), 9/8

Mgogoro Kati ya Galileo na Kanisa, 4/22

“Mwaka wa Biblia,” 9/22

“Yehova Ndiye Hunifariji” (Mfalme Mswisi), 6/22

MAHUSIANO YA WANADAMU

Dhuluma, 8/22

Kijana Wako Akitumia Dawa za Kulevya, 4/8

Maisha ya Utotoni, 4/22

Mawasiliano, 9/22

Siri ya Kuwa na Ndoa Yenye Mafanikio, 10/8

“Wanawake Wanastahili Staha,” 10/8

Watoto Wanahitaji Nini Kutoka kwa Wazazi? 12/22

MAMBO MENGINE

Hesabu Huwafaidi Watu Wote, 5/22

Je, Wajua? 2/8, 4/8, 6/8, 8/8, 10/8, 12/8

Kuabiri kwa Kutegemea Maji, Anga, na Upepo, 8/22

Kuwachora Watu Maarufu wa Wahalifu (mchoraji wa mahakamani), 4/8

Kuzoea Simu za Mkononi “Kupita Kiasi,” 1/8

Magari ya Zamani na ya Kisasa, 1/8

Mawaidha Kutoka kwa Rubani Stadi, 7/8

Mchanga, 5/8

Mitindo, 9/8

Msiba Baharini na Uharibifu wa Pwani (umwagikaji wa mafuta), 8/22

Mwisho wa Juma, 4/8

Njia ya Kaskazini-Magharibi, 11/22

Pata Habari Kamili (Internet), 2/8

Picha Zilizotengenezwa kwa Mawe, 10/8

Tabasamu, 1/22

“Usisahau Kubeba Mwavuli!” 7/22

Viatu Vinakutoshea? 3/8

Vinu vya Upepo, 10/8

Wanadamu Waiga Usanii wa Muumba (balbu), 11/22

MAONI YA BIBLIA

Dhambi Isiyosameheka, 2/8

Epuka Usemi Unaoumiza, 6/8

Inamaanisha Nini Kupenda Vitu vya Kimwili? 4/8

Iwapo Watu wa Ukoo Si wa Dini Yako, 11/8

Je, Mungu Hutupatia Utajiri? 9/8

Je, Ni Lazima Wakristo Wawe Maskini? 1/8

Je, Tuwachukie Watu wa Jamii Nyingine? 8/8

Je, Umoja wa Kikristo Ni Kufanana? 5/8

Je, Wakristo Wanapaswa Kupumbazwa Akili? 7/8

Ngono Isiyo ya Asili, 10/8

Uhuru wa Kuamua, 3/8

Unawezaje Kushinda Tamaa Mbaya? 12/8

MASHAHIDI WA YEHOVA

Aliamua Kumtii Mungu (A. Gargallo, Hispania), 3/8

Alifanikiwa Kuliko Alivyotarajia (Ujerumani), 5/8

Baada ya Milipuko (Ekuado), 9/8

Insha Yake Ilivutia Kwelikweli (mwanafunzi), 9/8

Kitu Kisichoweza Kuharibiwa na Dhoruba (kutoa msaada), 8/8

Kiwanda cha Kemikali Kilipolipuka (Ufaransa), 3/22

Maelezo Mafupi Kuhusu Kikundi cha Kidini (ripoti ya mwanafunzi), 8/22

Mafuriko Huko Caucasus, 10/22

Mahakama ya Juu ya Marekani Yatetea Uhuru wa Kusema, 1/8

Makusanyiko ya “Mtukuzeni Mungu,” 5/22

Siku za Wageni Zilizofana Sana (Mexico), 12/22

Siku za Wageni Zilizovutia Wengi (Ujerumani), 3/8

‘Tunamtii Mungu Kuliko Wanadamu’ (michoro), 1/8

Upendo Nyakati za Taabu (Nigeria), 2/22

Wanafaidi Jamii (Majumba ya Ufalme), 8/8

MASIMULIZI YA MAISHA

Dini Yangu Ilikuwa Sayansi (K. Tanaka), 9/22

Imani Yajaribiwa Ulaya Wakati wa Wanazi (A. Letonja), 2/8

Jinsi Maisha Yangu Yalivyobadilika Nilipojeruhiwa (S. Ombeva), 4/22

Jinsi Mahitaji Yangu ya Kiroho Yalivyotoshelezwa (L. Moussanett), 6/22

Malezi Yangu Yalinisaidia Niishi Maisha Yenye Kusudi (E. Pandachuk), 10/22

Mavazi na Mapambo Yalinizuia Kufanya Maendeleo (E. Brumbaugh), 12/22

Nilijaribu Kuwatumikia Mabwana Wawili (K. Payne), 7/8

Nilikubali Maoni ya Mungu Kuhusu Damu (Y. Aizawa), 12/8

Niliwekwa Huru Kutokana na Minyororo ya Chuki (J. Gomez), 1/8

MATUKIO NA HALI ZA ULIMWENGU

Dhuluma, 8/22

Faragha, 1/22

Hali ya Hewa, 8/8

Je, Mafuta Yatakwisha? 11/8

Je, Tunaweza Kuokoa Mazingira? 11/22

Je, Unalipa Kodi Nyingi Sana? 12/8

Kijana Wako Akitumia Dawa za Kulevya, 4/8

Maadili, 6/8

Matatizo ya Wakulima, 10/8

Mauaji ya Kijeuri, 7/8

Ponografia, 7/22

Ukahaba wa Watoto, 2/8

Utapiamlo, 2/22

NCHI NA WATU

‘Barabara Iliyoinuka Zaidi’ (New Zealand), 5/22

Barcelona (Hispania), 7/8

Desturi ya Piñata (Mexico), 9/22

Fumbo la Cahokia (Marekani), 3/8

Hifadhi ya Kitaifa ya Paracas (Peru), 12/8

Kuchunguza Sauti za Angani (Australia), 6/8

Kula kwa Mikono (Ghana), 4/8

Kusafiri kwa Meli ya Matete! (Ziwa Titicaca), 1/22

Kuzoa Chumvi kwa Jua na Upepo (Ufaransa), 2/8

Kuzuru Yerusalemu Mjini Quebec, 9/8

Madini Yanayometameta (Mexico), 8/22

Madrid (Hispania), 6/22

Mafuriko Huko Caucasus, 10/22

Mbilikimo, 11/8

Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi (Kenya), 6/8

Methali za Waakan (Ghana), 3/22

Mnara wa Bosporus, 3/8

Mto Amazon—Unawategemeza Mamilioni, 11/8

Mto Ulipogeuza Mkondo (Mississippi), 11/22

“Mvua Hainyeshi Kamwe Huku Lima” (Peru), 5/22

“Ngoma Inayotoa Milio Elfu Moja” (Afrika), 5/8

Ondol Ni Njia ya Pekee ya Kupasha Nyumba Joto (Korea), 8/8

Paniolo—Wachungaji wa Ng’ombe wa Hawaii, 4/8

Prague (Jamhuri ya Cheki), 11/8

Safari Ndefu Zaidi kwa Basi la Umeme (Ukrainia), 3/22

Safari ya Kupendeza Baharini (Norway), 5/22

Seville (Hispania), 7/22

Siria, 2/8

St. Petersburg (Urusi), 8/22

Tahiti na Jitihada za Kutafuta Paradiso, 8/8

Tour de France, 7/8

Ua Unaoathiri Hali ya Hewa (Australia), 2/8

Visima vya Ajabu (Rasi ya Yucatán, Mexico), 2/22

Ziwa la Lami (Trinidad na Tobago), 10/8

SAYANSI

Hisi, 3/8

Kuchunguza Sauti za Angani, (darubini) 6/8

Masikio ya Wadudu Wadogo, 4/22

Mgogoro Kati ya Galileo na Kanisa, 4/22

VIJANA HUULIZA

Je, Nitiwe Alama ya Chanjo? 9/22

Kuiba Mtihani, 1/22

Kutafuta Ukamilifu, 7/22, 8/22

Nawezaje Kufaulu Kusema Mbele ya Watu? 12/22

Nawezaje Kujijengea Jina Bila Kuwategemea Ndugu Zangu? 11/22

Nawezaje Kutambuliwa Bila Kuwategemea Wazazi? 10/22

Nifanyeje Msiba Ukitokea? 6/22

Video za Muziki, 2/22, 3/22

Wazazi Walezi, 4/22, 5/22

WANYAMA NA MIMEA

Chakula Kutoka Shamba Lako, 12/8

Chavuo—Balaa au Muujiza? 7/22

Dawa ya Wadudu ya Nyani, 8/22

Faida za Misitu, 12/22

Hisi, 3/8

Jeshi Lasonga Mbele! (siafu), 6/8

Kiboko, 5/8

Kimelea Mwenye Manufaa, 10/22

Korongo, 9/22

Kundi Kubwa Lahama (nyumbu), 2/22

Masikio ya Wadudu Wadogo, 4/22

Mawasiliano, 9/22

Mbegu Kubwa Zaidi Ulimwenguni, 10/22

Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi, 6/8

Mimea Hutumiwa Kutengeneza Dawa, 12/22

Minyoo, 5/8

Misitu ya Mvua, 6/22

Mnyama Mdogo Mwenye Miiba (nungunungu), 4/22

Mojawapo ya Matunda Muhimu Zaidi (nazi), 3/22

Ndege Wenye Rangi ya Waridi (flamingo), 1/22

Njugu, 4/22

Nyangumi wa Kijivu, 9/8

Okidi, 9/8

Panyabuku, 1/8

Shamba la Migomba, 3/22

Tambili Ni Nazi Bora Zaidi, 7/8

Tausi, 6/22, 11/22

Tumbo Lake Humwokoa! (bunju mwenye miiba), 3/22

Tunda la Manjano Lenye Historia ya Kupendeza (shelisheli), 2/22

Vitu Maridadi Kutoka Ufuoni (makombe), 1/22

Wadudu Hatari Wanaouma (viwavi), 4/8

Wadudu Wasumbufu Wanaosafisha Maji (kome), 7/22

Zawadi ya Manjano Kutoka Kaskazini (cloudberry), 11/8

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki