Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yp1 uku. 149
  • Mfano wa Kuigwa—Musa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mfano wa Kuigwa—Musa
  • Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 1
  • Habari Zinazolingana
  • Mradi Wako Maishani Ni Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
  • Iga Imani ya Musa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Musa—Jinsi Maisha Yake Yanavyokuhusu
    Amkeni!—2004
  • Musa​—Alikuwa Na Imani Thabiti
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Pata Habari Zaidi
Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 1
yp1 uku. 149

Mfano wa Kuigwa​—Musa

Musa ana baraka nyingi maishani. Alilelewa katika nyumba ya kifalme ya Farao na kuelimishwa hekima yote ya Misri. (Matendo 7:22) Atautumia jinsi gani ujuzi huo? Anaweza kupata umashuhuri, mali, na mamlaka. Hata hivyo, hashawishiwi na marafiki wala kushawishiwa na tamaa ya kujitafutia makuu. Badala yake, anachagua kufanya kazi ambayo bila shaka inawashangaza wengi. Anaamua “kutendewa vibaya pamoja na watu wa Mungu.” (Waebrania 11:25) Je, Musa anakosa chochote? Hapana. Kwa sababu ya kuchagua kumtumikia Mungu na kuwasaidia watu, anafurahia maisha mazuri na yenye kuridhisha.

Ikiwa una nafasi ya kupata elimu nzuri ya msingi, utaitumia jinsi gani? Unaweza kufuatia pesa au mamlaka. Au, kama Musa unaweza kutumia maisha yako kwa njia inayofaa kwelikweli. Unaweza kutumia nguvu zako za kiakili na za kimwili kumtumikia Mungu na jirani zako. (Mathayo 22:35-40) Hakuna njia nyingine ya maisha yenye kuridhisha kama hiyo!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki