Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • rr kur. 76-77
  • Maneno Makuu Katika Kitabu cha Ezekieli

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Maneno Makuu Katika Kitabu cha Ezekieli
  • Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • “Mwana wa Binadamu”
  • “. . . Mtalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”
  • “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova”
  • Jinsi Yehova Anavyotusaidia Kutimiza Huduma Yetu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Kitabu Cha Biblia Namba 28—Ezekieli
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • “Sasa Mwisho Umekufikia”
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • “Mwabudu Mungu”
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
Pata Habari Zaidi
Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
rr kur. 76-77

SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 7B

Maneno Makuu Katika Kitabu cha Ezekieli

“Mwana wa Binadamu”

ZAIDI YA MARA 90

Ezekieli anaitwa “mwana wa binadamu” zaidi ya mara 90. (Eze. 2:1) Kwa hiyo, Yehova anamkumbusha kwamba ingawa alipata mapendeleo makubwa, yeye ni mwanadamu tu. Inapendeza kwamba katika masimulizi ya Injili, Yesu anaitwa “Mwana wa binadamu” mara 80, na hilo linaonyesha kwamba alikuwa mwanadamu kamili na si malaika aliyevaa mwili wa mwanadamu.—Mt. 8:20.

“. . . Mtalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”

ZAIDI YA MARA 50

Zaidi ya mara 50, Ezekieli anaandika maneno ya Mungu kwamba watu watalazimika “kujua kwamba mimi ni Yehova,” na maneno hayo yanakazia kwamba ni Yehova peke yake anayestahili kupokea ibada safi.—Eze. 6:7.

“Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova”

MARA 217

Maneno “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova” yanapatikana mara 217, na hivyo kuonyesha umuhimu wa jina la Mungu na kukazia kwamba uumbaji wote uko chini ya Yehova.—Eze. 2:4.

Angalia sura ya 7, fungu la 28

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki