Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 104-106
  • Utii

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utii
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 104-106

Utii

Kwa nini ni muhimu kutii?

Kut 19:5; Kum 10:​12, 13; Mhu 12:13; Yak 1:22

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 15:​17-23—Nabii Samweli anamkemea Mfalme Sauli kwa kutomtii Yehova; kisha Samweli anakazia umuhimu wa kutii

    • Ebr 5:​7-10—Ingawa sikuzote Yesu amekuwa Mwana mkamilifu wa Mungu, alijifunza kuwa mtiifu alipotendewa kwa njia isiyofaa akiwa duniani

Mkristo anapaswa kufanya nini ikiwa wanadamu wenye mamlaka wanamwambia asimtii Mungu?

Mdo 5:29

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 3:​13-18—Hata walipohatarisha uhai wao, Waebrania watatu waaminifu walikataa kuinamia sanamu iliyosimamishwa na Mfalme Nebukadneza

    • Mt 22:​15-22—Yesu anaeleza kwamba wafuasi wake wanawatii wenye mamlaka isipokuwa tu wenye mamlaka wawaambie wasimtii Yehova Mungu

    • Mdo 4:​18-31—Hata walipoamriwa na wenye mamlaka waache kuhubiri, mitume waliendelea kuhubiri kwa ujasiri

Ni lazima tufanye nini ikiwa tunataka kuendelea kutii amri za Yehova?

Kum 6:​1-5; Zb 112:1; 1Yo 5:​2, 3

Tazama pia Zb 119:​11, 112; Ro 6:17

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ezr 7:​7-10—Kuhani mwaminifu Ezra anatayarisha moyo wake ili aweze kuweka mfano mzuri wa kutii amri za Mungu na kuwafundisha wengine

    • Yoh 14:31—Yesu anafunua kwa nini anatenda kama vile Baba yake alivyomwamuru

Ni nini kinachopaswa kutuchochea kumtii Yehova na Yesu?

Yoh 14:21; 1Yo 2:5; 2Yo 6

Utii wetu unaonyeshaje imani yetu?

Ro 1:5; 10:​16, 17; Yak 2:​20-23

Tazama pia Kum 9:23

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 6:​9-22; Ebr 11:7—Noa anaonyesha imani yake kwa kujenga safina kama tu Yehova anavyomwamuru, ‘ndivyo anavyofanya’

    • Ebr 11:​8, 9, 17—Abrahamu anaonyesha imani yake kwa kutii amri za Yehova, kutia ndani kuondoka Uru, na kumtoa mwana wake

Yehova anatupa baraka gani tunapotii?

Yer 7:23; Mt 7:21; 1Yo 3:22

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Law 26:​3-6—Yehova anaahidi kuwabariki na kuwatunza wale wanaomtii

    • Hes 13:​30, 31; 14:​22-24—Kalebu anaonyesha roho ya utii, na hivyo anapata baraka za Yehova

Ni nini kitakachotokea tusipotii?

Ro 5:19; 2Th 1:​8, 9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 2:​16, 17; 3:​17-19—Kwa sababu hawamtii Yehova Mungu, Adamu na Hawa wanapoteza Paradiso, ukamilifu, na uzima wa milele

    • Kum 18:​18, 19; Mdo 3:​12, 18, 22, 23—Yehova anatabiri kuja kwa Nabii mkuu zaidi ya Musa na kufunua kwamba kutomtii Nabii huyo kutasababisha matokeo mabaya sana

    • Yud 6, 7—Malaika waasi na watu wa Sodoma na Gomora wanamkasirisha Yehova kwa sababu ya kutotii

Kwa nini tunapaswa kumtii Yesu Kristo?

Mwa 49:10; Mt 28:18

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Yoh 12:​46-48; 14:24—Yesu anaeleza kwamba kutotii maneno yake kutaongoza kwenye hukumu kali

Kwa nini Wakristo wanawatii wale wanaoongoza kutanikoni?

Ebr 13:17

Kwa nini mke Mkristo anapaswa kujitiisha kwa mume wake?

1Ko 11:3; Efe 5:​22, 24; Kol 3:18; Tit 2:​4, 5; 1Pe 3:​1-6

Kwa nini watoto wawatii wazazi wao?

Met 23:22; Efe 6:1; Kol 3:20

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 37:​3, 4, 8, 11-13, 18—Kijana Yosefu anamtii baba yake na kusafiri kwenda kuwaona ndugu zake hata ingawa wanamchukia

    • Lu 2:51—Yesu anaendelea kuwatii Yosefu na Maria hata ingawa yeye ni mkamilifu na wazazi wake wa kibinadamu si wakamilifu

Kwa nini ni jambo la hekima kumtii mwajiri wetu hata ikiwa hatuonwi na wengine?

Efe 6:5; Kol 3:22; 1Pe 2:18

Kwa nini Wakristo wanatii serikali?

Ro 13:​1-6; Tit 3:1; 1Pe 2:​13, 14

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki