Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 10
  • Baba

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Baba
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl uku. 10

Baba

Baba ana majukumu gani?

Kum 6:​6, 7; Efe 6:4; 1Ti 5:8; Ebr 12:​9, 10

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 22:2; 24:​1-4—Abrahamu anampenda sana Isaka na anajitahidi sana kuhakikisha kwamba mwana wake mpendwa anamwoa mwabudu wa Yehova

    • Mt 13:55; Mk 6:3—Yesu anaitwa “mwana wa yule seremala” na pia “seremala”; hivyo, tunaweza kufikia mkataa kwamba Yosefu alimfundisha mwana wake ufundi huo

Kwa nini jukumu la baba katika familia, ambalo amepewa na Mungu, linapaswa kuthaminiwa na kuheshimiwa?

Kut 20:12

Tazama pia Mt 6:9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ho 11:​1, 4—Yehova anaonyesha jinsi anavyowathamini na kuwaheshimu akina baba kupitia kielelezo chake akiwa Baba. Anawafundisha watu wake na kuwatunza kwa wororo kama tu ambavyo baba wa kibinadamu anavyofanya

    • Lu 15:​11-32—Yesu anaonyesha jinsi anavyowathamini na kuwaheshimu akina baba kwa kusimulia mfano huo unaotufundisha jinsi Baba yetu wa mbinguni, Yehova, anavyoshughulika kwa rehema na wale ambao wamefanya dhambi lakini wanatubu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki