WAFUNDISHE WATOTO WAKO (Mfululizo wa Makala Katika Mnara wa Mlinzi)
tangazo: w08 1/1 3
Orodha Kulingana na Vichwa
“Aliendelea Kushikamana na Yehova” (Hezekia): w12 3/1 30-31
Alikuwa Mkaidi Lakini Mwishowe Alitii (Naamani): w12 6/1 30-31
Alipendwa na Mungu na Rafiki Zake Pia (binti Yeftha): w11 2/1 25-26
Alitaka Kusaidia (msichana Mwisraeli aliyetekwa nyara): w08 6/1 24-25
Daudi—Kwa Nini Hakuogopa?: w08 12/1 16-17
Je, Kuna Wakati Unapojihisi Mpweke na Mwenye Woga?: w11 4/1 24-25
Je, Umewahi Kuhisi Kama Umetengwa na Wengine?: w11 6/1 26-27
Kwa Nini Dorkasi Alipendwa?: w11 8/1 14-15
Kwa Nini Yesu Alikawia?: w10 8/1 14-15
Marko Hakukata Tamaa: w08 2/1 24-26
Mwana wa Dada ya Paulo Amwokoa Asiuawe: w09 6/1 16-17
Pupa Ilimfanya Gehazi Apoteze Kibali cha Mungu: w12 9/1 30-31
Rahabu Alisikiliza Habari: w09 8/1 24-25
Rebeka Alikuwa Tayari Kumpendeza Yehova: w10 2/1 24-25
Samweli Alifanya Yaliyo Sawa: w08 8/1 24-25
Shemu Aliona Kizazi cha Kabla na Baada ya Gharika: w09 10/1 16-17
Siri Unayoweza Kuwaambia Wengine: w10 12/1 30-31
Timotheo—Alikuwa Tayari na Mwenye Nia ya Kutumika: w08 4/1 24-25
Ufalme Ambao Utabadili Dunia Nzima: w10 10/1 24-25
Wakati Tunapopaswa Kukaa Macho: w11 10/1 24-25
Waliitwa “Wana wa Ngurumo” (Yakobo na Yohana): w11 12/1 30-31
Watu Walioandika Kumhusu Yesu: w10 6/1 24-25
Yehoashi Alimwacha Yehova kwa Sababu ya Marafiki Wabaya: w09 4/1 24-25
Yeremia Hakukata Tamaa: w09 12/1 24-25
Yesu Alijifunza Kutii: w10 4/1 30-31
Yohtamu Aliendelea Kuwa Mwaminifu Licha ya Matatizo Nyumbani: w12 12/1 30-31
Yosia Alichagua Kufanya Yaliyo Sawa: w09 2/1 24-25