UFALME
(Ona pia Kurudi na Kuwapo kwa Kristo; Kutanguliza Mambo ya Ufalme; Mwaka wa 1914; Nyakati Zilizowekwa za Mataifa; Utawala wa Miaka Elfu)
(Kuna vichwa vidogo: Ufalme wa Kimasihi; Ufalme wa Yehova wa Ulimwengu Wote)
Israeli (la kale):
“ufalme wa makuhani” (Kut 19:5, 6): w12 1/15 27-28; w00 9/1 21; w98 2/1 10-11
ufafanuzi: rs 311
ufalme wa mnyama-mwitu watiwa giza (Ufu 16:10): re 228
“ufalme wa Mwana wa upendo wake” (Kol 1:13): rs 318; w02 10/1 18
“ufalme wa ulimwengu” (Ufu 11:15): re 171-172
Ufalme wa Kimasihi
agano pamoja na Daudi: ct 137-138, 143
lenye kutegemeka: w10 4/1 20
Yesu Kristo ni Mrithi wa agano la Ufalme lililofanywa pamoja na Daudi: w10 4/1 20; w06 12/15 4-5; re 59-60; ip-2 236-238
baraka kwa raia duniani: w12 9/15 8-12; g 12/12 22-25; w11 3/1 5; w10 1/1 22-23; w10 4/1 9-10; w10 8/15 29-32; rk 16-17; w09 3/15 11-13; w09 12/1 6-7; w08 8/1 7-8; w08 10/1 8-10; g 4/08 8-9; g 5/08 7; w07 3/15 5-6; w07 12/15 14-15; cf 190-191; w06 5/15 5-6; jd 190-191; re 303; g 12/06 7-9; bh 4-5, 33-36; rs 313-318; g04 3/22 11; lr 251-254; cl 82-83; wt 96-99, 188-189; gu 26; ol 30; la 29-31; g01 7/22 12; w00 4/15 12-13, 16-18; w00 5/15 18-19; w00 10/15 18-19; jt 17-18; w99 8/15 5-6; w98 4/15 17-19; g98 10/22 8-11; jv 168; g97 10/8 8-11; rq 11
afya: g98 7/8 9
amani: w06 2/15 21-25
chakula kisichodhuru: g 6/12 8-9; g01 12/22 11-12
dhambi itaondolewa: lr 126
elimu: w10 12/15 18
fadhili zitadumu: w04 4/15 15-17
familia: ip-2 387
haki: g 5/12 8-9; w07 8/15 25-26; cl 156-157; w97 11/15 6-7
hakuna mtu atakayeshuka moyo tena: g 7/09 8
hali nzuri ya mazingira itarudishwa: g03 11/22 9-10
hatutatoa machozi kwa sababu ya maumivu au kwa sababu ya hali zenye kuhuzunisha: w12 9/15 10
jinsi ya kuzipata: w01 4/1 5-7
kanuni za Mungu zitafuatwa: g03 6/8 10-11
kazi itakayofurahisha: w03 2/1 6-7
kifo kukomeshwa: g 12/12 25
kukomeshwa kwa ufisadi: w12 10/1 7-8
kuteseka hakutakuwapo tena: g 7/11 8-9; w09 12/1 6; w07 5/15 21-25; rs 126-127; w03 1/1 6; w03 7/15 32; wt 69; w01 5/15 7-8; w99 9/15 6-7
magonjwa hayatakuwapo tena: g 12/12 23, 25; w10 4/1 9-10; g04 5/22 11-13; g03 5/22 12; g03 10/22 11; ip-1 352, 354-355; g97 11/22 10
makao: w12 9/15 9; g05 9/22 11-12; g05 12/8 9
mambo ya zamani hayatakumbukwa akilini: w12 3/1 19
misiba haitakuwapo tena: w11 12/1 8-9; g 9/07 8-9
miujiza ya Yesu inaonyesha baraka ambazo Ufalme utaleta: w10 8/15 29-30; w09 3/15 12; g05 4/22 11; w02 5/1 4-6; cl 95-96
nguvu za asili zitadhibitiwa: rs 316; g03 8/8 9
Paradiso: w10 12/1 25; g 9/08 7-10; w06 8/15 4-7; ip-1 369-381; gf 8-9; w96 2/15 17-18
Shetani na roho waovu watatiwa katika abiso: re 287-288
silaha hazitakuwapo tena: g01 3/22 11; ip-1 48
uchafuzi utakoma: g98 12/22 11
ufufuo: w12 9/15 10-11; w09 3/15 12, 19; g 12/07 8-9; w06 3/15 6-7; w06 6/15 6; jd 190-191; re 296-300; w05 5/1 10-13, 17-22; rs 323-327; lr 187-191; cl 83-86; wt 85-87; w98 7/1 21-24; ie 27-28
ugaidi hautakuwapo tena: g 6/06 7-9
uhalifu hautakuwapo tena: g 2/08 8-9; w03 11/15 32; g03 7/8 10-11; g98 2/22 7-9; g96 10/8 10-11
ukamilifu: wt 96-98, 188-189; w00 6/15 5-7
ukatili hautakuwapo tena: w07 4/15 6-7
ulemavu hautakuwapo tena: w02 5/1 4-7; g99 6/8 9-10; w96 2/15 18
ulimwengu wenye umoja: w12 12/15 28; g02 5/22 12-13
umaskini hautakuwapo tena: w11 6/1 7-8; g 5/07 9-10; w06 5/1 7; w05 5/15 4, 7; g05 11/8 7, 10; w03 3/15 32; w03 8/1 6-7; g98 6/8 11
umoja: w05 6/1 6-7; g00 4/22 11; w97 11/1 6-7
upatano: g05 9/8 11-12
“uumbaji-mpya” (Mt 19:28): w09 8/1 22; w09 8/15 8; w08 9/1 29; g 9/08 7; g 12/06 8
uzima wa milele: w06 10/1 6; ip-2 386-387; la 29; w00 10/15 19-20; gf 31; w99 4/15 12-13
vita havitakuwapo tena: g 12/12 23; ip-1 45-48, 129; g00 5/8 8-9; g99 8/22 10-11; g99 9/22 7-9; w98 4/15 30; g97 10/22 11; g96 4/22 8-11
wanawake hawatakandamizwa tena: g98 4/8 14
wanyama: w12 9/15 9-10; g 12/11 11; g05 9/8 12; g04 12/8 30; ip-2 387-388; w00 4/15 17-18; ip-1 163-165; g96 8/8 10
wanyama watalindwa ili wasitoweke: g97 7/8 11
watoto hawatadhulumiwa tena: g03 2/8 8, 10
watoto watatunzwa: g00 12/8 11
watu wanaoharibu vitu kimakusudi hawatakuwapo: w99 6/15 6-7
wazee watakuwa vijana tena: w11 4/1 23; w09 8/15 5-6; w07 6/1 30; g 2/06 8-9
wingi wa chakula: g 12/12 23
woga hautakuwapo tena: g05 8/8 10; w04 11/15 32
Yerusalemu Jipya: w12 1/15 30; re 310-313
“funguo za ufalme” (Mt 16:19): w10 1/1 26; bt 56; rs 362-363
ufunguo wa kwanza: bt 22, 56; w98 2/1 11
ufunguo wa pili: bt 56
Petro akabidhiwa funguo za ufalme: w98 8/15 14
Petro alivyozitumia: w08 5/15 30; rs 362-363
habari kuu katika ujumbe ambao Yesu alihubiri: w11 4/1 6; w10 4/1 8; w10 7/1 25; bm 20; w08 5/15 12; w07 12/1 27-28; cf 79, 81-83; g 12/06 4; w05 7/1 7; cl 211; jv 21-22; w96 2/1 16
“habari njema ya ufalme” (Mt 24:14; Mk 13:10): w11 3/1 3-9; w09 3/15 17-18; w08 5/15 12-16; km 11/07 1; w06 9/15 6; w05 7/1 16-27; bh 92; rs 63, 289; be 278-281; km 12/02 1; w01 4/1 3-5; jt 15-18; w97 1/15 23-24
bora kuliko kuunga mkono siasa: w04 5/1 6-7
habari mpya kuanzia 1914: w06 5/1 27
inawatambulisha Wakristo wa kweli: w12 3/1 8-9
kampeni za kuhubiri katika karne ya kwanza na ya ishirini: w06 2/1 22-26; w99 8/15 19-24
kazi ya kuhubiri habari njema ina sehemu mbili: w03 2/1 22; w97 1/15 23
kazi ya kuhubiri inafanywa ijapokuwa inapingwa: w06 5/1 30
kazi ya kuhubiri itakamilishwa: km 5/10 1; km 1/02 1; km 4/01 1-2
kazi ya Zerubabeli ya kujenga upya hekalu inafananisha kazi ya kuhubiri: w06 4/15 20-21, 25-26
kuitangaza: w10 1/15 13
kutenda kupatana na habari njema: w01 4/1 5-7
lugha zote: w05 12/1 22-26
mtangazaji wa kwanza wa Ufalme: w03 2/1 22
roho takatifu inawatia nguvu wahubiri wa habari njema: w10 4/15 11
uhusiano kati ya kazi ya kuhubiri na hali ya kiroho: w07 8/1 6-7
umuhimu: w11 3/1 3
‘yatikisa na kuingiza vitu vyenye kutamanika vya mataifa’ (Hag 2:7): w06 5/15 31
“jiji” (Ebr 11:10, 16): w09 8/15 4; w08 10/15 32; w05 5/1 11; w01 8/15 17-18
kichwa kikuu (habari muhimu) katika Biblia: w07 9/1 7; be 211; w00 10/15 10
kumfundisha mtu kuhusu Ufalme: be 58, 280-281
kusudi: rs 311
kutafuta Ufalme kwanza: w12 4/15 14-15; w11 9/15 12-13; w11 10/15 11; w08 9/15 24; lv 181-182; w06 5/15 20; km 10/06 1; w05 3/15 4-5; od 188; be 281; wt 101-109; km 1/02 1; w98 5/1 16; w97 10/1 26-27; jv 283-284, 291-295; w96 2/1 20; w96 11/15 21-23
Abrahamu: w01 8/15 27
badala ya kufuatilia elimu ya juu au kazi bora: w97 10/1 27; w96 11/15 21-22
ijapokuwa Mkristo ana majukumu mengine mengi: w98 9/1 19-21
kutafuta ufalme na ‘uadilifu wa Mungu’ (Mt 6:33): w11 2/15 24; w11 9/15 13-14; w10 10/15 7-11; w08 9/15 24; w06 1/1 25-29
mifano ya kuigwa kuhusiana na kazi ya kuajiriwa: w11 9/15 12-13; yb10 98-99; w08 1/15 17-19; yb08 51
mtu aliyeacha mgodi wa dhahabu: w08 2/15 17
Mungu anawasaidia wanaotafuta Ufalme kwanza: w11 9/15 12-14; g 6/07 9; w06 1/1 20-24; w03 6/1 32; g03 9/8 27; wt 102, 104
usawaziko kati ya kazi ya kuajiriwa na kutafuta Ufalme: w11 9/15 12-13; w02 4/1 19; km 9/01 4
watu waliotafuta Ufalme kwanza kwa kutozingatia mali maishani: w07 10/1 19
Yesu ni mfano wa kuigwa: cf 52-53; w02 3/15 11-13
kuutambua: w11 3/1 4-5; w10 4/1 8-9; w08 1/1 5-7; w06 7/15 3; rs 311-313; kp 8
kuzaliwa kwa Ufalme wa Kimasihi: re 177-180
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1925): w06 2/15 28-29; jv 78-79, 138-139
maandiko ambayo yamefafanuliwa isivyofaa:
Luka 17:21: w11 3/1 10-11; w08 1/1 13; rs 311-312
mabalozi: lv 51-53; w02 11/1 16-17; w98 12/15 17-18
maelezo: w11 7/1 16-17; w10 4/1 8-10; w10 10/1 24-25; w08 1/1 4-9; w08 5/1 16-17; g 11/07 20; w06 7/1 6; w06 7/15 3-7; bh 76-85; od 187-188; rs 311-319; lr 232-237; wt 90-100; w01 10/15 6-7; w00 10/15 10-20; rq 12-13
kwa Waislamu: gu 24-26
maelezo ya—
Augustine: w09 8/15 12; w05 1/15 19; jv 38
Wells, H. G.: w96 2/1 16
mafundisho ya dini zinazodai kuwa za Kikristo: w11 3/1 4; jv 37-38
mafundisho yasiyo ya kweli:
Ufalme umo moyoni: w11 3/1 10-11; w08 1/1 13; rs 311-312
Ufalme wa Kimasihi ulikuwa sehemu ya kusudi la awali la Mungu: w00 10/15 12-13
watu wote ulimwenguni watageuzwa imani: rs 319
mambo ambayo yametimizwa na yatakayotimizwa: w10 4/1 9; w08 1/1 6; w07 3/15 4-7; rs 313-318; wt 96-100, 188-189; w00 10/15 19
mambo ambayo yametimizwa katika siku za mwisho: wt 98-99
maoni ya Mababa wa Kanisa: w97 3/1 10
maoni yasiyo sahihi:
Kanisa ni ufalme duniani: jv 38
maoni ya Wanafunzi wa Biblia: jv 137-139
maono katika kitabu cha Danieli: bm 18
Mashahidi wa Yehova: jv 447-448
“Dini Ni Mtego na Hila”: jv 447, 566-568
kutembea barabarani ili kutangaza ujumbe: w12 2/15 9; jv 265-266, 447, 566-568
matangazo katika magazeti ya kila siku: jv 560-561
“Photo-Drama” (sinema na picha kuhusu uumbaji): jv 561-562
‘tangazeni Mfalme na ufalme wake’: re 172; jv 72, 77-78
mashirika bandia ya Ufalme wa Kimasihi: re 241-244, 248-249
matarajio katika karne ya kwanza: bt 16
“mbingu mpya” (Isa 65:17; 66:22): w12 3/1 19; ip-2 381-382
“mbingu mpya” (2Pe 3:13): w10 7/15 5; w01 6/15 31
“mbingu mpya” (Ufu 21:1): re 301; w01 6/15 31
Mfalme, Yesu Kristo: w10 4/1 8, 20; w10 12/15 16-20; w08 1/1 6; cf 185; w06 7/15 4-5; re 171; g 12/06 4; bh 77-78; od 13; w04 12/15 6-7; lr 232-236; be 277-278; wt 94-95; km 11/02 1; w00 10/15 11; g98 12/8 10-11; rq 12
atamkabidhi Baba Ufalme (1Ko 15:24): re 291, 300; wt 189; w00 10/15 20
haki yake ya kutawala haikufutiliwa mbali na amri juu ya Yehoyakini (Yer 22:30): w07 3/15 10-11
mambo atakayofanya baada ya Utawala wa Miaka Elfu (Milenia): wt 100; w00 10/15 20
maono ya kugeuka sura: w10 1/1 27-28; w05 1/15 12-13, 16-17
“mwana wa binadamu” (Da 7:13, 14): w10 12/1 5; rs 312; dp 145-147
nia njema ya Mfalme Yesu: w07 5/15 20
Shilo (Mwa 49:10): w11 8/15 9; w07 12/1 23-25; w04 1/15 29; w02 10/1 17-20
sifa zake: w07 5/15 7, 20; w07 8/15 28-29; w06 5/1 28, 31; cl 198; g98 12/8 9-10
sifa zinazomstahilisha kuwa Mfalme: w10 12/15 16-18
ushikamanifu kwake: w06 5/1 27-31
“utawala wa ukuu” (Isa 9:6): w10 10/1 24
Zaburi ya 45: cf 58-59; w06 6/1 8-9; re 277; rs 385-386
Zaburi ya 72: w10 8/15 28-32; w04 11/1 6-7
mifano kuhusu Ufalme: w96 2/1 17-20
chachu iliyofichwa katika unga (Mt 13; Lu 13): w08 7/15 19-21
dinari ambayo wafanyakazi wa shamba la mizabibu walilipwa (Mt 20): w07 5/1 30; w06 6/1 14-15
karamu kubwa ya jioni (Lu 14): w10 4/15 26
lulu yenye thamani kubwa (Mt 13): w05 2/1 8-18
mabikira kumi (Mt 25): w12 9/15 23, 25-26; w07 9/1 31; re 55-56; w04 3/1 14-15, 17-18
mbegu ya haradali (Mt 13; Mk 4; Lu 13): w08 7/15 17-19, 21; g96 8/8 22
mpandaji (mpanzi) (Mt 13; Mk 4; Lu 8): w08 7/15 12-14; w03 2/1 8-13; w99 11/1 15-17; w96 2/1 17-18
ngano na magugu (Mt 13): w10 3/15 19-23; re 31, 57, 188, 208-209; w03 9/1 5-6
talanta (Mt 25): w12 9/15 23, 25-27; w04 3/1 15-18; w04 10/1 22-23
wakulima wauaji wa shamba la mizabibu (Mt 21; Mk 12; Lu 20): ip-1 76-77
wavu wa kukokotwa (Mt 13): w12 8/1 20; w08 7/15 20-21
mpango wa elimu: w04 8/1 6-7
mpango wa usimamizi duniani:
jiji Yehova Mwenyewe Yupo Hapo (Eze 48): w99 3/1 22-23
muda utakaodumu:
utadumu “mpaka wakati usio na kipimo” (Da 7:14): wt 100
mwezi ni “shahidi mwaminifu” kuhusu ufalme (Zb 89:37): w07 7/15 32
“neno la ufalme” (Mt 13:19):
“kuelewa maana yake” (Mt 13:23): w96 2/1 16-21
raia: w11 3/1 5; w09 4/1 11-12; w08 8/1 7; w06 7/15 5; w04 8/1 6
kustahili kuwa raia: w06 5/1 28-29
matakwa: w12 8/15 12-13; w06 5/1 29-30
serikali: w08 1/1 5-6; w08 8/1 6-7; rq 12-13
sheria: w12 8/15 13; w08 8/1 6-7; w06 5/1 29-30; w06 7/15 5
siri takatifu: w06 2/15 19-20; re 158, 171-172, 177; w02 6/15 6
“si sehemu ya ulimwengu huu” (Yoh 18:36): bm 20; w02 11/1 15-16; wt 160-161
suala lenye ubishi: re 131
tumaini la Ufalme: w07 5/15 6-7; km 11/07 1
kuthamini tumaini la Ufalme: w11 2/15 20
lilitupiliwa mbali wakati dini zinazodai kuwa za Kikristo zilipoasi imani: w05 1/15 18-19; jv 37-38
ubora wake: w06 7/15 4-6
Ufalme unahitajika: w04 8/1 3; rs 265-269; g99 1/8 31
Ufalme unaodumu: wt 94-95
Ufalme utaleta ukombozi: w08 5/15 12-16
Ufalme waanza kutawala: w10 4/1 10; bh 84-85
haikuwa lazima watu wote wageuzwe imani kabla haujaanza kutawala: rs 319
maono ya Danieli (Da 7): bm 18; dp 145-148
maono ya Yohana (Ufu 12): re 177-183
‘tarumbeta ya saba’ yautangaza (Ufu 11:15): re 157-158, 171-173
wakati ulipoanza kutawala: w12 8/1 16-17; w06 7/15 6-7; bh 215-218; rs 318-319, 397-399
“ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake” (Ufu 11:15): re 171-172; rs 342; wt 94
Ufalme wa Kimasihi utatimiza agano la Abrahamu: w98 2/1 17-18
“ufalme wako na uje” (Mt 6:10; Lu 11:2): w10 10/1 7-8; w09 2/15 17; w08 1/1 4-5; w06 7/15 4, 7; bh 76-82, 84; w04 2/1 10-11; w04 9/15 5-6; w02 4/1 6; be 279-280; w99 1/15 13-14
hautakuja duniani: w96 6/1 31
sala zinazofanana na sala ya kielelezo katika dini zisizo za Kikristo: w08 1/1 4-5
unapokuja: w08 1/1 7-9
Ufalme wa mbinguni: w10 4/1 8-9
“ufalme wa mbinguni”: w10 4/1 8-9
uhalisi: w05 1/15 15-20; w04 8/1 4-7; rs 312-313; be 280-281
uhusiano kati ya Ufalme wa Kimasihi na—
suala la enzi kuu ya ulimwengu: g 11/07 20
Ufalme wa Yehova wa ulimwengu wote: w07 12/1 22-23; wt 93-94
ulikuwa “umekaribia” katika siku za Yesu: be 209-210; w01 4/1 4-5
“umo katikati yenu” (Lu 17:21): w11 3/1 11; w08 1/1 13
unafananishwa na—
jiwe (Da 2): w04 2/1 10; dp 60-62
mti katika ndoto ya Nebukadneza (Da 4): rs 397-399
mtoto mwanamume (Ufu 12:5): re 179-180
utawala wa Sulemani: w09 4/15 32
uraia: w12 8/15 11-15
utaharibu serikali zote duniani: w12 5/1 7; w12 9/15 7; bm 18; w07 3/15 4; wt 91, 95-96; w01 10/15 6
utawala wa upendo: bm 20
wakuu: w06 6/1 9
“wana wako, ambao utawaweka” (Zb 45:16): w06 7/15 5
wapinga-Kristo wanaukataa: w06 12/1 6
watakaotawala pamoja na Yesu: w11 3/1 5; w10 4/1 8; bm 28; w06 2/15 19-20; w06 7/15 5; re 72-73, 199-201, 288-291, 310, 313; bh 78-79; rs 312; w02 6/15 5-6; wt 95; w00 10/15 12; rq 12
agano kati ya Yesu na watiwa-mafuta (Lu 22:29, 30): w06 2/15 22; w03 2/15 22; cl 197; w98 2/1 17-18; w98 2/15 16
kilichofanya wachaguliwe kutoka duniani: w06 2/15 19-20
mambo watakayofanya baada ya Utawala wa Miaka Elfu (Milenia): w12 1/15 30; wt 100; w00 10/15 20
Maria (mama ya Yesu): w09 1/1 10
sifa zao: w07 8/15 29; cl 198
“ufalme na makuhani” (Ufu 5:10): re 87
“ufalme wa makuhani” (Kut 19:5, 6): w12 1/15 27-29; w11 5/15 22-23; jr 175-176; re 87; cl 196-197
“ukuhani wa kifalme” (1Pe 2:9): w12 1/15 26-30
‘wamezaliwa tena’ (Yoh 3:3): w09 4/1 7-8, 11
“watakatifu” (Da 7): w05 1/15 16; w04 2/1 10; dp 146, 148
watu wasio Wayahudi waitwa: w06 2/15 19
“wazee 24” (Ufu 4:4): re 77, 81
“watu wasio waadilifu hawataurithi” (1Ko 6:9): w96 2/1 20
Ufalme wa Yehova wa Ulimwengu Wote
kuongea kuuhusu: w04 1/15 16-17
maelezo: w07 12/1 21-22; re 172
unawakilishwa na Ufalme wa Kimasihi: w07 12/1 22-23; wt 93-94
Yehova alipotawala Waisraeli: w10 1/15 29-30
‘Yehova amekuwa mfalme’: re 172, 274-275; ip-2 185, 187-188