HASIRA (Ghadhabu)
(Ona pia Kinyongo; Kulipiza Kisasi; Kusuluhisha Hali ya Kutoelewana; Kuudhi/Kuudhika)
“ghadhabu ya mwanadamu haitokezi uadilifu wa Mungu” (Yak 1:20): w97 11/15 12
hasira: rq 21
hasira kali (ghadhabu): g02 2/8 22-24
hasira kali barabarani: g99 5/22 29; g97 11/22 21-23
hasira kali jikoni: g00 8/22 28-29
“jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu” (Met 15:1): w09 7/15 25; w08 3/15 22; w06 7/1 13-14
hasira ya uadilifu: g97 6/8 18-19
hasira ya Yehova: g97 6/8 18-19
fidia inawaokoa watu kutokana na ghadhabu ya Mungu: w10 8/15 13
“ghadhabu inayokuja” (1Th 1:10): w10 8/15 13
“ghadhabu inayokuja” (Mt 3:7): w08 6/15 7-8
“ghadhabu” juu ya maadui wa watumishi wake (Zek 8:2): w96 1/1 10-11
inalinganishwa na rehema ili kuonyesha tofauti: ip-2 224-226
kanuni zinazoiongoza: ip-2 133
“kikombe cha ghadhabu” (Ufu 14:10): re 209-210
“kulipa hasira yake” (Isa 66:15): ip-2 404-405
si sifa kuu ya Yehova: ip-1 363
‘yamalizika’ (Ufu 15:1): re 215-234
Yehova si mwepesi wa hasira: w09 5/1 18; w02 1/15 14
jambo la kufanya mtu mwingine anapokasirika: w06 7/1 13-14; g01 11/22 23-25; w00 8/15 25
abiria wa ndege: g99 10/22 28
mtu anayeshauriwa: w06 5/1 21
kati ya Wakristo: w10 6/15 21-22; w07 10/1 29-30; w06 8/15 27; jd 112-114; w99 2/15 21; w96 5/15 22-23
kufoka (kulipuka) kwa hasira: g 9/09 17-19
kuidhibiti hasira: g 3/12 7-9; w10 6/15 15-24; w10 9/15 20; g 9/09 17-19; yp2 219-221; w07 7/15 12; w06 11/15 7; g05 2/22 19-20; w03 3/15 27; w03 5/15 8-9; g02 2/8 23-24; la 8; w99 8/15 8-9; w97 3/15 13-14; w97 11/15 12; ba 25-26; fy 149-150
“iachieni nafasi ghadhabu” (Ro 12:19): w00 3/15 29
ishara ya nguvu: g01 10/22 13-14
“iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi” (Efe 4:26): w10 9/15 20
jambo la hekima: w97 3/15 13-14
katika huduma ya shambani: w00 1/15 21
“kunyamaza” (Zb 4:4): w06 5/15 18
kuonyesha hasira hakusaidii kuituliza: g 3/12 7-8; g01 4/8 29; g99 10/8 29
‘kutokuwa mwepesi wa hasira’: w07 7/15 12; w06 8/1 16-17; w05 9/15 14
kutoweka hasira moyoni: w10 5/15 30; w06 1/15 25; w97 12/1 20
manufaa: w12 6/1 8; g 5/06 28; w05 9/15 14; w96 12/15 32
Mkristo awe “si mwepesi wa ghadhabu” (Yak 1:19): w97 11/15 12
mtu anapotendewa isivyo haki: g99 9/22 10-11
‘ufahamu hupunguza hasira’ (Met 19:11): cl 187
umuhimu wa kuidhibiti hasira: g97 6/8 18-20
wakati wa kuendesha gari: g97 11/22 23
watoto: w07 12/1 19
kuongezeka kwa vitendo vya hasira: g 3/12 6; g02 2/8 22-23
kuudhibiti ulimi: w96 5/15 22
kuwakasirikia watoto: g97 8/8 9-10
madhara: g04 5/22 29; g02 2/8 23-24
kwa afya: g 8/11 29; g 5/06 28; w05 9/15 14; g02 12/22 29
kwa moyo: g04 2/8 28-29; g04 12/8 28; g00 12/8 28; w96 12/15 32; g96 12/8 10
maelezo: g 3/12 3-9
makala ya Amkeni! yathaminiwa: g98 3/22 30
mambo yaliyoonwa: g01 11/22 23-25
jirani aliyekasirika: km 1/08 8
mtu aliyekuwa mjeuri tangu ujanani: w10 2/1 19-20
watu waliofaulu kudhibiti hasira kali: g 3/12 8; g 8/12 9; rk 7; g 11/07 24; w03 11/15 24-25; w96 10/15 26
watu waliokasirika kwa sababu ya kile walichodhani kuwa kosa: w97 4/1 22-23
watu wenye hasira watulizwa na Mashahidi: w10 6/15 20; w09 7/15 25
mambo yanayochangia: g 3/12 4-7; w10 6/15 15
maneno ya Kigiriki: g97 6/8 19-20
maoni ya Biblia: g 3/12 8; w06 11/15 7; w97 11/15 12; g97 6/8 18-20
hasira katika kutaniko la Kikristo: g97 6/8 20
“mtu anayeendelea kuwa na ghadhabu na ndugu yake” (Mt 5:22): w06 2/15 31
milipuko ya hasira ya mtoto: g 10/11 6-7
mtu kuepuka kuchukua hatua anapokuwa na hasira: w99 4/15 31
mume na mke wanapokasirikiana: g01 8/22 30
ufafanuzi: w06 7/1 13
upendo “hauchokozeki” (1Ko 13:5): cl 307; w99 2/15 21
visababishi:
visa katika Biblia: g01 10/22 14; g97 6/8 19
Kaini: w08 7/1 31
Musa: w11 2/15 12; g97 6/8 18-19
Paulo na Barnaba: bt 119-120, 122; w98 4/15 22-23
Simeoni na Lawi (Mwa 34): w10 6/15 16-17; w09 9/1 20-21; g01 10/22 14; g98 4/22 30
Yesu: cl 148-149, 151
visa mbalimbali: g 3/12 3
abiria wa ndege: w10 6/15 15; g99 10/22 28
watu ambao wameanguka katika mitihani ya udereva: g00 11/22 28