MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
(Kuna kichwa kidogo: Orodha ya Maandiko)
Abrahamu:
je, Mungu alifanya agano pamoja na Abrahamu huko Uru au Harani?: w01 11/1 31
kwa nini aliambiwa amdhabihu mwana wake?: w12 1/1 23
Adamu:
ikiwa alikuwa mkamilifu, aliweza jinsi gani kufanya dhambi?: w08 10/1 27
agano la Sheria:
hali fulani zinazohusisha viungo vya uzazi zilimtia mtu unajisi: w06 6/1 31
ahadi ya ndoa (uchumba): w99 8/15 30-31
arusi:
je, inafaa kuhudhuria arusi ya mtu ambaye si Shahidi?: w07 11/15 31
je, Mkristo ahudhurie kanisani?: w02 5/15 28
kanuni kuhusu kutoa na kupokea zawadi: w03 9/1 29
Ayubu:
aliteseka kwa muda gani?: w01 8/15 31
baraza la raia la mahakama: w97 4/1 27-29
biashara:
kwa nini kuandika mapatano?: w97 8/1 30-31
damu:
damu iliyo katika kondo la nyuma na kiunga-mwana: w97 2/1 29
je, inafaa kutumia damu ya mtu mwenyewe katika matibabu?: w00 10/15 30-31
je, Mashahidi hukubali visehemu vya damu?: w04 6/15 29-31; w00 6/15 29-31
Danieli:
alikuwa wapi watu wote walipoamuriwa waabudu sanamu ya dhahabu ya Nebukadneza?: w01 8/1 31
Daudi:
ala mkate wa wonyesho (1Sa 21:1-6): w05 3/15 30
je, aliwatendea mateka kikatili? (2Sa 12:31, UV; 1Nya 20:3, UV): w05 2/15 27
kwa nini alimruhusu Mikali kuwa na terafimu? (1Sa 19:13): w04 6/1 29
kwa nini hakuuawa kwa sababu ya kufanya uzinzi pamoja na Bath-sheba?: w05 5/15 31
kwa nini Sauli alimuuliza Daudi yeye ni mwana wa nani? (1Sa 17:55-58): w07 8/1 31
dhabihu ya Abeli: w02 8/1 28
dhambi:
je, Wakristo wana mamlaka ya kusamehe dhambi? (Yoh 20:23): w96 4/15 28-29
dhiki kuu:
je, watu watageuka wakati wa dhiki kuu na kuwa sehemu ya “mwili” utakaookolewa?: w97 2/15 29
Edeni:
maoni ya kwamba nyoka alikuwa na miguu: w07 6/15 31
nyoka alivyowasiliana na Hawa: w01 11/15 27
Elisha aomba “sehemu mbili” za roho ya Eliya: w03 11/1 31
Ezekieli:
“bubu” katika maana gani?: w03 12/1 29
fundisho la kwamba matukio yote katika maisha ya wanadamu yameamuliwa mapema (kimbele): w09 4/1 26
Gharika:
je, Gharika ilikuwa ya dunia nzima?: w08 6/1 8
maana ya “miaka 120” (Mwa 6:3): w10 12/15 30-31
Har-Magedoni: w11 9/1 10; w07 2/1 31
vitapiganwa wapi?: w08 4/1 31
Haruni:
kwa nini Haruni hakuadhibiwa alipotengeneza ndama wa dhahabu?: w10 5/15 21
hukumu ya kifo: w97 6/15 30
“ibada haramu za sanamu” (1Pe 4:3): w01 7/15 28
jamii za wanadamu:
je, Mungu anaona jamii moja kuwa bora kuliko nyingine?: w11 7/1 23
je, Gehena ni mahali pa moto wa mateso?: w11 4/1 31
je, imani ni tu kitulizo cha kihisia?: w12 11/1 23
je, jina la Mungu (Tetragramatoni) linapatikana katika Injili ya Mathayo iliyonakiliwa na Shem-Tob?: w97 8/15 30
je, “kitabu cha Yashari” na “kitabu cha Vita vya Yehova” viliandikwa kwa mwongozo wa roho takatifu lakini vikapotea?: w09 3/15 32
je, kutokamilika kwa Maria kulimwathiri Yesu?: w02 3/15 19
je, Lusifero ni jina lingine la Shetani? (Isa 14:12, ZSB): w02 9/15 30
je, matatizo ni adhabu kutoka kwa Mungu?: w09 6/1 31
je, misiba ya asili ni adhabu kutoka kwa Mungu?: w08 5/1 30
je, Mkristo anaweza kutoa kiapo mahakamani?: w03 1/15 21
je, mtu anapaswa kujiunga na kikundi cha dini?: w10 11/1 31
je, nadhiri zinazowekwa kwa Mungu zinaweza kuvunjwa?: w02 11/15 30-31
je, Wakristo waepuke kafeini?: w07 4/15 30
je, Wakristo wana mamlaka ya kusamehe dhambi? (Yoh 20:23): w96 4/15 28-29
je, wanadamu wanaweza kuwa wakamilifu leo? (Mt 5:48): w10 11/15 22
je, Yosefu alifasiri ishara za bahati? (Mwa 44:5): w06 2/1 31
Kaini:
alipata wapi mke?: w10 9/1 25
kamari:
je, ni kosa kucheza kamari iwapo pesa zinazotumiwa ni kidogo?: w02 11/1 31
kazi inayohusisha kuwa na silaha: w05 11/1 31
kazi inayohusisha mashirika au majengo ya dini: w99 4/15 28-30
kifo:
ni jinsi gani ‘kifo cha washikamanifu wake’ ni “chenye thamani”? (Zb 116:15): w12 5/15 22
“kizazi” (Mt 24:34):
je, maoni ya Mashahidi kuhusu mwaka wa 1914 yamebadilika?: w97 6/1 28
je, mwisho uko mbali sana?: w97 5/1 29
kompyuta:
je, michezo yenye jeuri inaathiri uhusiano wa mtu pamoja na Yehova?: w05 9/15 29
kuwapa wengine programu za kompyuta: w01 2/15 28-29
kondoo na mbuzi (Mt 25):
je, Mashahidi wanashiriki katika kazi ya kuwatenganisha sasa?: w97 7/1 31
Krismasi:
kwa nini watu fulani hawasheherekei: w12 12/1 10
kufunga uzazi: w99 6/15 27-28
kuishi katika nyumba moja na watu wengine: w10 2/15 22-23
kujifungua (kuzaa):
maoni ya Kikristo kuhusu matumizi ya damu iliyo katika kondo la nyuma na kiunga-mwana: w97 2/1 29
kumtakia mtu heri kwa kuinua bilauri yenye kileo: w07 2/15 30-31
kupiga kura: w99 11/1 28-29
kutengwa na ushirika:
je, inafaa kusali kuwahusu wale waliotengwa na ushirika?: w01 12/1 30-31
kwa sababu ya matendo machafu?: w06 7/15 29-31
‘kutia alama’ (2Th 3:14, 15): w99 7/15 29-31
kuwalea watoto katika familia zilizogawanyika kidini: w02 8/15 30-31
kuwapa maofisa “bakshishi” ni tofauti na kutoa rushwa: w05 4/1 29
kuwinda na kuvua samaki: w07 12/1 31
kuzuia mimba:
kufunga uzazi: w99 6/15 27-28
Majumba ya Ufalme: w10 5/1 31
je, inafaa kununua jengo la dini?: w02 10/15 27
makanisa:
je, Mkristo ahudhurie arusi au mazishi kanisani?: w02 5/15 28
Mashahidi wa Yehova:
je, Mashahidi wanaponya kimuujiza: w10 10/1 13
je, Mashahidi wa Yehova wanaruhusu wanawake kufundisha: w12 9/1 23
je, ni dini ya Kiprotestanti?: w09 11/1 19
je, wanaamini Agano la Kale?: w08 12/1 30
je, wanakubali matibabu?: w11 2/1 27
kinachofanya wasitumie msalaba katika ibada: w08 3/1 22
kinachofanya wasitumie sanamu katika ibada: w09 2/1 30-31
kwa nini hawaendi vitani?: w08 7/1 22
kwa nini wanahubiri nyumba kwa nyumba?: w12 6/1 15
maoni ya Mashahidi kuhusu kushiriki katika ibada za dini nyingine: w10 6/1 27
ripoti ya utumishi ya kila mwaka: w11 8/15 22
mashetani:
jinsi ya kukomesha mashambulio: w06 4/15 31
watakuwa wapi wakati wa Utawala wa Miaka Elfu?: w04 11/15 30-31
maswali kuhusu Biblia au matatizo ya mtu binafsi: w11 10/15 32
mazao ya kwanza ya shayiri:
ni nani aliyevuna mganda wa shayiri uliotolewa Nisani 16?: w07 7/15 26
mazishi:
je, inafaa kutoa hotuba ya mazishi ya mtu aliyejiua?: w02 6/15 30-31
je, Mkristo ahudhurie ibada ya mazishi kanisani?: w02 5/15 28
mbinguni:
je, Wakristo wote waaminifu wataenda mbinguni?: w11 6/1 12
michango:
ninapaswa kutoa kiasi gani cha pesa?: w09 8/1 30
mikopo:
je, agizo la ‘kutotumainia kurudishiwa chochote’ linahusu mikopo? (Lu 6:35): w04 10/15 29
mitume:
kwa nini waliambiwa na Yesu wabebe fimbo na kuvaa viatu? (Mk 6:7-9): w11 3/15 6
kwa nini walishindwa kumponya mvulana? (Mt 17:20; Mk 9:29): w98 8/1 30
miujiza:
je, maponyo yote ya kimuujiza yanatoka kwa Mungu?: w09 5/1 28
msalaba:
kinachofanya Mashahidi wasitumie msalaba katika ibada: w08 3/1 22
msiba wa barabarani unaosababisha kifo: w06 9/15 30; w06 12/15 30
mtu aliyejiua:
je, inafaa kutoa hotuba ya mazishi ya mtu aliyejiua?: w02 6/15 30-31
Musa:
kwa nini aliwakasirikia wana wa Haruni? (Law 10:16-20): w11 2/15 12
ndoa:
kati ya watu wa jamaa moja: w02 2/1 29
Kiapo cha Uaminifu kwa ajili ya mtu anayeishi kinyume na sheria: w12 12/15 16-17
kilichofanya Waisraeli waruhusiwe kuoa wanawake wa nchi za kigeni waliotekwa: w04 9/15 28
kwa nini wafunge ndoa na waabudu wenzao tu?: w12 7/1 29
ndoa ya wake wengi: w09 7/1 30; w03 8/1 28
ni lazima ili uwe na furaha?: w12 10/1 25
ndoa ya wake wengi:
je, kanuni za Yehova zimebadilika?: w03 8/1 28
je, Yehova anaikubali?: w09 7/1 30
neno la Kigiriki tote: w96 7/15 30
ngono:
je, wazazi wanapaswa kuwafundisha watoto wao kuihusu?: w11 11/1 29
kumdhulumu mtoto (upedofilia): w97 2/1 29
Noa:
aliingiza wanyama safi wangapi wa kila aina katika safina?: w07 3/15 31
njiwa alipata wapi jani la mzeituni?: w04 2/15 31
paradiso:
paradiso inayotajwa katika Biblia iko wapi?: w10 12/1 25
Paulo:
alivunjikiwa meli wapi?: w04 8/15 30-31
je, alikana imani aliposema: “Mimi ni Farisayo”? (Mdo 23:6): w05 4/15 31
ponografia (picha au habari chafu):
tabia ya kutazama pronografia inaweza kufanya Mkristo atengwe na ushirika?: w12 3/15 30-31
roho takatifu:
inahuzunishwa jinsi gani?: w04 5/15 29-30
je, watiwa-mafuta na “kondoo wengine” wana kiwango sawa cha roho takatifu?: w96 6/15 31
sala:
je, Stefano alisali kwa Yesu? (Mdo 7:59): w05 1/1 31
katika jina la Yesu: w02 4/15 31
kusali kuwahusu wale waliotengwa na ushirika: w01 12/1 30-31
kwa nini sala nyingine hazijibiwi?: w09 1/1 30
Samsoni:
aliwezaje kumpasua simba vipande viwili kana kwamba ni mwana-mbuzi?: w05 1/15 31
kwa nini aliruhusiwa kushika maiti ijapokuwa alikuwa Mnadhiri?: w05 1/15 30-31
sanduku la agano:
je, lilikuwa na mabamba mawili tu? (2Nya 5:10): w06 1/15 31
miti ya kubebea sanduku ilionekana jinsi gani? (1Fa 8:8): w01 10/15 31
sauti:
mtu akisikia sauti ambayo hajui chanzo chake, je, inamaanisha anashambuliwa na roho waovu?: w03 5/1 31
Serikali Kuu ya Uingereza na Marekani:
lini ilianza kuwa serikali kuu ya saba?: w12 6/15 19
Shekina (nuru ya kimuujiza): w05 8/15 31
Shetani:
alitupwa kutoka mbinguni wakati gani? (Ufu 12:1-9): w09 5/15 18
je, aliumbwa na Mungu?: w11 3/1 21
je, ana uwezo wa kujua yale ambayo mwanadamu anafikiri?: w03 6/15 30
je, Lusifero ni jina lingine la Shetani? (Isa 14:12, ZSB): w02 9/15 30
je, ni kiumbe halisi?: w09 10/1 15
je, ‘tayari alikuwa ameanguka kutoka mbinguni’ katika siku za Yesu?: w04 8/1 28
kwa nini alitumia nyoka katika bustani ya Edeni?: w11 1/1 12
kwa nini anaitwa “yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo”? (Ebr 2:14): w03 7/1 30
sikukuu:
msimamo wa mke Mkristo: w01 12/15 28-29
siku za kuzaliwa:
tofauti kati ya sherehe za siku ya kuzaliwa na ukumbusho wa kila mwaka wa arusi: w98 10/15 30-31; w98 12/15 30
talaka:
Mkristo asiye na hatia na asiyetaka talaka afanye nini?: w00 12/15 28-29
tumbaku:
je, Mungu atahisije nikitumia tumbaku?: w12 8/1 15
ubakaji (kulalwa kinguvu):
kwa nini mtu anapaswa kupiga mayowe anapotishwa?: w03 2/1 30-31
ubatizo:
hali zinazoweza kumfanya mtu abatizwe tena: w10 2/15 22
‘kwa ajili ya wafu’ (1Ko 15:29, UV): w03 10/1 29
maana ya ubatizo katika siku ya Pentekoste 33 W.K.: w03 5/15 30-31
mtazamo unaofaa wakati wa ubatizo: w96 9/1 21
mtu mnyonge au mlemavu: w02 6/1 29
watoto wachanga: w11 10/1 11
Ufalme:
je, inafaa kuomba Ufalme uje duniani?: w96 6/1 31
ufufuo:
watoto wanaofia ndani ya tumbo la uzazi: w09 4/15 12-13; w09 8/15 23
Ukumbusho:
idadi ya watu wanaokula mkate na kunywa divai inapoongezeka: w96 8/15 30-31
kwa nini Yesu aliweza kutumia maji ya zabibu yaliyochachushwa (divai)?: w07 9/15 31
“mara” ngapi? (1Ko 11:25, 26): w03 1/1 31
mtiwa-mafuta asipoweza kuhudhuria: w03 3/15 31
ukumbusho wa kila mwaka:
siku ya kuzaliwa na arusi: w98 10/15 30-31; w98 12/15 30
ulafi: w04 11/1 30-31
“umati mkubwa” (Ufu 7:9-17):
wanamtumikia Yehova katika sehemu gani ya hekalu la Yehova? (Ufu 7:15): w02 5/1 30-31
uponyaji:
je, maponyo yote ya kimuujiza yanatoka kwa Mungu?: w09 5/1 28
useja:
je, unapata zawadi ya useja kimuujiza? (Mt 19:10-12): w12 11/15 20
Utatu:
fundisho la Biblia?: w12 3/1 23
je, ni lazima mtu aamini Utatu ili awe Mkristo?: w10 2/1 22
Utawala wa Miaka Elfu:
je, watu wataweza kufanya dhambi baada ya lile jaribu la mwisho?: w06 8/15 31
“uzima ndani yake mwenyewe,” “uzima ndani yenu wenyewe” (Yoh 5:26; 6:53): w03 9/15 30-31
uzima wa milele:
je, utachosha?: w11 5/1 27
kwa nini Mungu anaahidi uzima wa milele?: w10 1/1 29
viini-tete vilivyogandishwa:
je, vihifadhiwe au viharibiwe?: w12 12/15 14-16
Wakristo wa mapema:
kujihusisha katika siasa?: w12 5/1 22
Wakristo watiwa-mafuta:
je, 144,000 ni idadi halisi? (Ufu 7:4; 14:1, 3): w04 9/1 30-31
mwito wa wale watakaoenda mbinguni unakoma lini?: w07 5/1 30-31
wanawake:
inapofaa wafunike kichwa: w02 7/15 26-27
je, inafaa dada ajifunike kichwa anapotafsiri kwa lugha ya ishara mikutanoni?: w09 11/15 12-13
‘wanabaki salama kupitia kuzaa watoto’ jinsi gani? (1Ti 2:15): w05 5/1 29
‘wanakaa kimya makutanikoni’ jinsi gani? (1Ko 14:34): w06 3/1 28-29
wanyama-kipenzi:
je, ni kosa kumuua mnyama-kipenzi akiwa mgonjwa au mzee?: w03 6/1 31
wataalamu wa magonjwa ya akili: w96 9/1 30-31
watoto:
je, Mungu anawachukua watoto wawe malaika mbinguni?: w09 3/1 29
Wayahudi:
je, wote watakuwa Wakristo? (Ro 11:26): w08 6/15 28
wote wana nafasi sawa za kupata kumjua Mungu?: w10 8/1 22
Yakobo:
je, alifanya kosa alipojifanya kuwa Esau? (Mwa 27:19): w07 10/1 31
Yehova:
je, alikuwa na mwanzo?: w10 7/1 28
je, misiba ya asili ni adhabu kutoka kwa Yehova?: w08 5/1 30
je, Mungu anakaa mahali pamoja?: w11 8/1 27
je, Yehova hupa kila familia jina moja kwa moja? (Efe 3:14, 15): w96 1/15 31
kwa nini anaahidi kuwapa watu uzima wa milele?: w10 1/1 29
kwa nini anawaruhusu watu wateseke?: w08 2/1 27
kwa nini jina Yehova litumiwe ikiwa matamshi hayajulikani?: w08 9/1 31
Yesu Kristo:
“hekima” (Met 8): w06 8/1 31
je, anajua wakati vita vya Har-Magedoni vitakapoanza?: w96 8/1 30-31
je, inawezekana kujua idadi kamili ya unabii kumhusu Masihi?: w11 8/15 17
je, kutokamilika kwa Maria kuliathiri kuchukuliwa kwa mimba ya Yesu?: w02 3/15 19
je, wanaume watatu wenye hekima walimtembelea Yesu akiwa mtoto mchanga? (Mt 2:1-16): w09 12/1 31
je, Yesu ndiye malaika mkuu Mikaeli?: w10 4/1 19
je, ‘yeye peke yake ndiye asiyeweza kufa’? (1Ti 6:15, 16): w05 9/1 27
kwa nini alimruhusu Tomasi kumgusa lakini alimkataza Maria Magdalene? (Yoh 20:17, KJ; Yoh 20:27): w04 12/1 31
kwa nini Pilato aliogopa aliposikia kwamba Yesu “alijifanya mwenyewe kuwa mwana wa Mungu”? (Yoh 19:7, 8): w08 6/1 27
kwa nini Yesu aliweza kumsamehe mwanamke aliyejulikana kuwa mtenda-dhambi? (Lu 7:37, 48): w10 8/15 6-7
ni nani aliyetuma ile “nyota” ambayo wanajimu waliifuata? (Mt 2): w12 4/1 29
ni nani waliolalamika mafuta ghali yalipomwagwa juu ya kichwa cha Yesu? (Mt 26:8; Mk 14:4; Yoh 12:4, 5): w00 4/15 31
saa kamili ambayo alitundikwa mtini: w11 11/15 21
Yesu na Baba ni “kitu kimoja” jinsi gani? (Yoh 10:30): w09 9/1 28
Yubile:
ilifananisha nini?: w04 7/15 26-27
Yuda (mwana wa Yakobo):
kwa nini alilala na mwanamke aliyemdhania kuwa kahaba? (Mwa 38:15, 16): w04 1/15 30
Zaburi:
namba za sura na mistari zinatofautiana katika tafsiri mbalimbali: w03 4/1 31
Orodha ya Maandiko
Mwanzo 3:14, maoni ya kwamba nyoka alikuwa na miguu: w07 6/15 31
Mwanzo 3:22, “mmoja wetu”: w03 10/15 27
Mwanzo 6:3, “miaka 120”: w10 12/15 30-31
Mwanzo 7:2, ni wanyama safi wangapi wa kila aina walioingizwa katika safina?: w07 3/15 31
Mwanzo 8:11, njiwa alipata wapi jani la mzeituni?: w04 2/15 31
Mwanzo 27:19, je, Yakobo alifanya kosa alipojifanya kuwa Esau?: w07 10/1 31
Mwanzo 38:15, 16, kwa nini Yuda alilala na mwanamke aliyemdhania kuwa kahaba?: w04 1/15 30
Mwanzo 44:5, Je, Yosefu alifasiri ishara za bahati?: w06 2/1 31
Kutoka 4:24-26, ni uhai wa nani uliokuwa hatarini?: w04 3/15 28
Kutoka 20:5 na Ezekieli 18:20, maandiko haya hayapingani: w10 3/15 28-29
Kutoka 23:19, kutotokosa mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake: w06 4/1 31
Mambo ya Walawi 3:17 na Nehemia 8:10, maandiko haya hayapigani: w08 12/15 32
Mambo ya Walawi 10:16-20, kwa nini Musa aliwakasirikia wana wa Haruni?: w11 2/15 12
Mambo ya Walawi 11:40 na Kumbukumbu la Torati 14:21, maandiko haya hayapigani: w05 7/1 27
Mambo ya Walawi 23:10, 11, ni nani aliyevuna mganda wa shayiri?: w07 7/15 26
Hesabu 21:14, je, kuna “kitabu cha Vita vya Yehova” kilichoandikwa kwa mwongozo wa roho yake lakini kikapotea?: w09 3/15 32
Hesabu 25:9 na 1 Wakorintho 10:8, maandiko haya hayapigani: w04 4/1 29
Kumbukumbu la Torati 21:11, kuoa wanawake wa nchi za kigeni waliotekwa: w04 9/15 28
Kumbukumbu la Torati 31:2 na 34:7, maandiko haya hayapigani: w06 10/1 31
Yoshua 10:13, je, “kitabu cha Yashari” kiliandikwa kwa mwongozo wa roho ya Mungu lakini kikapotea?: w09 3/15 32
Waamuzi 14:6, je, kumpasua mwana-mbuzi kulikuwa zoea la kawaida?: w05 1/15 31
1 Samweli 16:10, 11 na 1 Nyakati 2:13-15, maandiko haya hayapigani: w02 9/15 31
1 Samweli 17:58, kwa nini Sauli alimuuliza Daudi yeye ni mwana wa nani?: w07 8/1 31
1 Samweli 19:13, kwa nini Daudi alimruhusu Mikali kuwa na terafimu?: w04 6/1 29
1 Samweli 21:1-6, Daudi na watu wake wala mkate wa wonyesho: w05 3/15 30
2 Samweli 12:31 (UV), je, Daudi aliwatenda mateka kikatili?: w05 2/15 27
1 Wafalme 8:8, miti ya kubebea sanduku la agano ilionekana jinsi gani?: w01 10/15 31
2 Wafalme 2:9, kwa nini aliomba “sehemu mbili” za roho ya Eliya?: w03 11/1 31
1 Nyakati 20:3 (UV), je, Daudi aliwatenda mateka kikatili?: w05 2/15 27
Zaburi, kwa nini namba za sura na mistari zinatofautiana katika tafsiri mbalimbali?: w03 4/1 31
Zaburi 102:26, dunia na mbingu zitaangamia?: w06 1/1 30
Zaburi 116:15, ni jinsi gani ‘kifo cha washikamanifu wake’ ni “chenye thamani”?: w12 5/15 22
Methali 8, je, inamhusu Yesu kabla ya kuwa mwanadamu?: w06 8/1 31
Methali 22:6, je, andiko hili linamaanisha kwamba watoto hawatamwacha Yehova?: w07 6/1 31
Methali 24:27, tunajifunza nini?: w09 10/15 12
Mhubiri 7:28, “mwanamume mmoja kati ya elfu moja”: w07 1/15 31
Isaya 14:12, je, “Lusifero” (ZSB) ni jina lingine la Shetani?: w02 9/15 30
Isaya 30:20, 21, kwa nini andiko linasema kwamba neno linatoka “nyuma yako”?: w03 2/15 31
Isaya 53:10, “Yehova alipendezwa kumponda” Masihi jinsi gani?: w00 8/15 31
Yeremia 7:16, je, agizo hili linamaanisha kwamba haifai kuwaombea wale waliotengwa na ushirika?: w01 12/1 30-31
Yeremia 32:7, je, ilifaa Hanameli amuuzie Yeremia shamba?: w04 3/1 29
Danieli 9:24, “Patakatifu pa Patakatifu” palitiwa mafuta lini?: w01 5/15 27
Sefania 2:3, “huenda”: w05 8/1 31
Hagai 2:7, ni nini kinachofanya ‘vitu vyenye kutamanika viingie’?: w06 5/15 31
Zekaria 9:4, kwa nini alitabiri uharibifu wa Tiro baada ya jiji hili kuharibiwa?: w08 6/1 27
Mathayo 2:1-16, je, wanaume watatu wenye hekima walimtembelea Yesu akiwa mtoto mchanga?: w09 12/1 31
Mathayo 3:7, “alipoona mara hiyo” (NW; Kiingereza): w96 2/15 31
Mathayo 5:22, ni mambo gani matatu hatari?: w06 2/15 31
Mathayo 5:48, ‘kuwa wakamilifu’ jinsi gani?: w10 11/15 22
Mathayo 6:10, je, inafaa kuomba Ufalme uje duniani?: w96 6/1 31
Mathayo 6:10, je, inamaanisha kwamba mapenzi ya Mungu yalifanywa mbinguni wakati huo?: w03 12/15 28-29
Mathayo 17:20 na Marko 9:29, maandiko haya hayapigani: w98 8/1 30
Mathayo 19:10-12, je, zawadi ya useja inapatikana kimuujiza?: w12 11/15 20
Mathayo 19:24, je, mfano unahusu ngamia na sindano halisi?: w04 5/15 30-31
Mathayo 24:9 na Luka 21:12, maandiko haya hayapingani: w96 7/15 30
Mathayo 24:22, je, watu watageuka wakati wa dhiki kuu na kuwa sehemu ya “mwili” utakaookolewa?: w97 2/15 29
Mathayo 24:34, “kizazi”:
je, maoni ya Mashahidi kuhusu mwaka wa 1914 yamebadilika?: w97 6/1 28
je, mwisho uko mbali sana?: w97 5/1 29
Mathayo 24:45, maana ya “mwenye busara”: w07 9/1 31
Mathayo 26:8; Marko 14:4; Yohana 12:4, 5, ni nani waliolalamika kuhusu mafuta ghali?: w00 4/15 31
Marko 6:7-9, kwa nini mitume waliambiwa na Yesu wabebe fimbo na kuvaa viatu?: w11 3/15 6
Luka 6:35, je, agizo la ‘kutotumainia kurudishiwa chochote’ linahusu mikopo?: w04 10/15 29
Luka 7:48, kwa nini Yesu aliweza kumsamehe mwanamke aliyejulikana kuwa mtenda-dhambi?: w10 8/15 6-7
Luka 10:18, ‘Shetani tayari ameanguka kutoka mbinguni’: w04 8/1 28
maana ya andiko: w98 6/15 30-31
Yohana 3:13, “hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka”: w06 6/15 30
Yohana 4:24, ‘kuabudu kwa roho’: w01 9/15 28
Yohana 5:26; 6:53, maana ya ‘mtu kuwa na uzima ndani yake mwenyewe’: w03 9/15 30-31
Yohana 10:30, Yesu na Baba ni “kitu kimoja” jinsi gani?: w09 9/1 28
Yohana 19:7, 8, kwa nini Pilato aliingiwa na woga?: w08 6/1 27
Yohana 20:23, je, andiko hili linamaanisha kwamba Wakristo wanaweza kusamehe dhambi?: w96 4/15 28-29
Matendo 2:38, je, ubatizo ni mfano wa kujiweka wakfu?: w03 5/15 30-31
Matendo 3:17, je, Wayahudi ‘walitenda kwa kutojua’?: w09 6/15 32
Matendo 7:59, je, maneno ya Stefano yanamaanisha tunapaswa kusali kwa Yesu?: w05 1/1 31
Matendo 12:15, kwa nini wanafunzi walisema: “Ni malaika [wa Petro]”?: w05 6/1 31
Matendo 23:6, je, Paulo alikana imani aliposema: “Mimi ni Farisayo”?: w05 4/15 31
Matendo 28:1, Malta?: w04 8/15 30-31
Waroma 11:26, je, Wayahudi wote watakuwa Wakristo?: w08 6/15 28
Waroma 12:19, “iachieni nafasi ghadhabu”: w00 3/15 29
1 Wakorintho 11:25, 26, “kila mara”: w03 1/1 31
1 Wakorintho 14:34, wanawake ‘kukaa kimya makutanikoni’: w06 3/1 28-29
1 Wakorintho 15:29, “ubatizo kwa ajili ya wafu” (UV): w03 10/1 29
2 Wakorintho 6:14, ni nani “wasio waamini”?: w04 7/1 30-31
Waefeso 3:14, 15, familia: w96 1/15 31
Waefeso 4:30, roho ya Mungu inahuzunishwa jinsi gani?: w04 5/15 29-30
Wafilipi 3:13, je, inawezekana ‘kuyasahau mambo ya nyuma’?: w96 5/1 31
Wakolosai 1:16, vitu vyote viliumbwa “kwa ajili ya” Yesu katika maana gani?: w01 9/1 31
2 Wathesalonike 3:14, 15, ‘kutia alama’: w99 7/15 29-31
1 Timotheo 2:15, wanawake ‘kubaki salama kupitia kuzaa watoto’: w05 5/1 29
1 Timotheo 5:9, “mke wa mume mmoja”: w07 4/1 31
1 Timotheo 6:15, 16, mambo yanayoonyesha kwamba Yesu ndiye anayezungumziwa: w05 9/1 27
Waebrania 2:14, Shetani ndiye “yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo”: w03 7/1 30
Waebrania 4:9-11, mtu anaweza kuingia katika pumziko la Mungu jinsi gani?: w01 10/1 30-31
Waebrania 6:2, “kuwekewa mikono”: w08 9/15 32
Waebrania 12:4, ‘kupinga mpaka kufikia damu’: w02 2/15 29
1 Petro 4:3, “ibada haramu za sanamu” zilikuwa haramu kwa njia gani?: w01 7/15 28
2 Petro 3:7, 10, je, Dunia itaharibiwa?: w12 2/1 25
2 Petro 3:13 (mbingu, kwa wingi) na Ufunuo 21:1 (mbingu, kwa umoja), maandiko haya hayapigani: w01 6/15 31
1 Yohana 4:18, “upendo mkamilifu,” “woga”: w04 10/1 29
Ufunuo 7:4, je, 144,000 ni idadi halisi?: w04 9/1 30-31
Ufunuo 7:15, “umati mkubwa” wanatumika katika sehemu gani ya hekalu?: w02 5/1 30-31
Ufunuo 12:9, Shetani alitupwa kutoka mbinguni wakati gani?: w09 5/15 18
Ufunuo 16:14, 16, vita vya Har–Magedoni ni nini?: w07 2/1 31
Ufunuo 20:8, je, watu wengi sana watapotoshwa?: w02 12/1 29