Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w08 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
w08 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2008

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Hati ya “Wimbo wa Baharini,” 11/15

Inabadili Maisha, 8/1

Je, Inatabiri Kuhusu Wakati Ujao, 10/1

Kuchagua Tafsiri Nzuri, 5/1

Maandishi Matakatifu, 9/1

Maandishi ya Kale ya Kikabari na Biblia, 12/15

Mambo Makuu Katika Tito, Filemoni, na Waebrania, 10/15

Mambo Makuu Katika Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, na Wakolosai, 8/15

Mambo Makuu Katika Waroma, 6/15

Mambo Makuu Katika Wakorintho wa 1 na wa 2, 7/15

Mambo Makuu Katika Wathesalonike wa 1 na wa 2, na Timotheo wa 1 na wa 2, 9/15

Mambo Makuu Katika ya Yohana wa 1, wa 2, na wa 3, na Yuda, 12/15

Mambo Makuu Katika Yakobo, na Petro wa 1 na wa 2, 11/15

Mambo Makuu Katika Luka, 3/15

Mambo Makuu Katika Marko, 2/15

Mambo Makuu Katika Matendo, 5/15

Mambo Makuu Katika Mathayo, 1/15

Mambo Makuu Katika Yohana, 4/15

Vitabu vya Injili Vinategemeka Kadiri Gani? 10/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Alitaka Kusaidia, 6/1

Fikiria “Mwisho Baadaye,” 9/1

Fuata “Utakatifu Katika Kumwogopa Mungu,” 5/15

‘Fuatilia Mambo Yanayofanya Kuwe na Amani,’ 11/15

“Iweni Waigaji wa Mungu,” 10/1

Jenga Familia Yako kwa “Maneno Yenye Kujenga,” 1/1

Jifunze Kutokana na Makosa ya Waisraeli, 2/15

Jinsi ya Kuwa Baba Mzuri, 10/1

Kufanikiwa Ukiwa Mama, 2/1

Kupata Furaha Hata Ukivunjika Moyo, 3/1

Kutatua Matatizo, 5/1

Kuwafariji Watu Wenye Ugonjwa Usioweza Kupona, 5/1

Kuwajibika Sikuzote Katika Ndoa, 11/1

Kuwalea Watoto Katika Ulimwengu Wenye Uendekevu, 4/1

Kuwasiliana na Vijana Wanaobalehe, 8/1

Kwa Nini Uonyeshe Shukrani? 8/1

Mipango Yako Inapatana na Kusudi la Mungu? 7/1

Msaidie Mtoto Wako Akabiliane na Huzuni, 7/1

Mwenye Nguvu Ingawa Dhaifu, 6/15

Mwige Yesu—Mwabudu Mungu kwa Njia Inayokubalika, 9/15

Ndugu za Yosefu Walikuwa na Wivu, 10/1

Ongeza Ujuzi Sahihi, 9/15

Samweli Alifanya Yaliyo Sawa, 8/1

Tunavyopaswa Kuwatendea Wengine, 8/1

Udadisi, 6/1

Unajenga Juu ya Mchanga au Mwamba? 11/1

Unataka Kuwa Mtu wa Aina Gani? 11/15

Usafi—Kwa Nini Ni Muhimu? 12/1

Uwe na Matarajio Yenye Usawaziko, 7/15

Wako Peke Yao Lakini Hawajasahauliwa (makao ya kuwatunzia wazee), 4/15

Waliboresha Maisha Yao, 1/15

Wanapopepetwa Kama Ngano, 1/15

MAKALA ZA FUNZO

Aliazimia Kutoa Ushahidi Kamili, 12/15

Chagua Kumtumikia Yehova Ukiwa Kijana, 5/15

Dumisha “Kamba Yenye Nyuzi Tatu” Katika Ndoa, 9/15

Dumisha “Upendo Uliokuwa Nao Mwanzoni”

Dumisha Ushikamanifu Ukiwa na Moyo Kamili, 8/15

“Endelea Kuangalia Huduma Ambayo Uliikubali Katika Bwana,” 1/15

Endelea Kumweka Yehova Mbele Yako Daima, 2/15

Endeleeni Kutenda Mema, 5/15

Fanya Maendeleo ya Kiroho kwa Kufuata Mfano wa Paulo, 5/15

Hujui Ni Wapi Itafanikiwa! 7/15

Ipinge “Roho ya Ulimwengu,” 9/15

Je, Utashikilia Kabisa Utimilifu Wako, 12/15

Jibu la Yehova kwa Sala ya Kutoka Moyoni, 10/15

Kataa Kabisa “Vitu Visivyo na Thamani,” 4/15

Kazia Uangalifu ‘Ufundi Wako wa Kufundisha,’ 1/15

Kubali Mamlaka ya Yehova, 6/15

Kubali Maoni ya Wengine na Uwe Mwenye Usawaziko, 3/15

Kushinda Magumu ya Huduma ya Nyumba kwa Nyumba, 7/15

Kuwapo kwa Kristo—Kunamaanisha Nini Kwako? 2/15

Kwa Nini Huduma ya Nyumba kwa Nyumba Ni ya Maana? 7/15

Kwa Nini Uendelee Kuwa Mtimilifu? 12/15

‘Macho ya Yehova Yanayong’aa’ Yanawachunguza Wote, 10/15

Mheshimu Yehova kwa Kuonyesha Heshima, 8/15

‘Mpinge Ibilisi’ Kama Yesu Alivyofanya, 11/15

‘Mungu Ndiye Anayeikuza’! 7/15

Mwige Yule Mmishonari Mkuu Zaidi, 2/15

Ndoa na Kuwa Mzazi Katika Wakati Huu wa Mwisho, 4/15

“Ni Nani Aliye na Hekima na Mwenye Uelewaji Kati Yenu?” 3/15

Ni Nini Kinachofanya Maisha Yawe Yenye Kusudi? 4/15

Pata Shangwe Katika Ndoa Yako, 3/15

Sifa Ambazo Ni Lazima Tufuatilie, 6/15

Tafuta Mwongozo wa Mungu Katika Kila Jambo, 4/15

Tembea Katika Njia za Yehova, 2/15

Thamini Daraka la Pekee la Yesu Katika Kusudi la Mungu, 12/15

Tunapaswa Kuwatendea Wengine Jinsi Gani? 5/15

Ukombozi Kupitia Ufalme wa Mungu Uko Karibu! 5/15

Unawaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona? 3/15

Unazungumza ile “Lugha Safi” kwa Ufasaha? 8/15

Utatoa Nini Ili Uendelee Kuishi? 10/15

Uwe na Maoni Yanayopatana na Maandiko Kuhusiana na Matibabu, 11/15

Vijana, Mkumbukeni Muumba Wenu Mkuu Sasa, 4/15

Vitu Ambavyo Ni Lazima Tuvikimbie, 6/15

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuongozwa Kwenye Chemchemi za Maji ya Uzima, 1/15

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuupokea Ufalme, 1/15

Wasaidieni Kondoo Waliopotea, 11/15

Wasaidieni Warudi Haraka! 11/15

Watu Wenye “Mwelekeo Unaofaa” Wanaitikia, 1/15

Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuonyesha Heshima? 10/15

Yehova Alikuwa “Mwokoaji” Nyakati za Biblia, 9/15

Yehova Anasikia Vilio Vyetu vya Kuomba Msaada, 3/15

Yehova Anatutazama kwa Faida Yetu, 10/15

Yehova Anawatunza kwa Upendo Watumishi Wake Waliozeeka, 8/15

Yehova Hatawaacha Washikamanifu Wake, 8/15

Yehova Ni “Mwokoaji” Wetu, 9/15

Yesu Kristo—Yule Mmishonari Mkuu Zaidi, 2/15

MAMBO MENGINE

Adamu Angeweza Jinsi Gani Kutenda Dhambi? 10/1

Alikata “Kauli Moyoni Mwake” (Maria), 10/1

Alitazama na Kungoja (Eliya), 4/1

Alitetea Ibada Safi (Eliya), 1/1

Amani ya Akili, 2/1

“Cheti cha Talaka,” 9/1

Daudi—Kwa Nini Hakuogopa

Dunia Ina “Homa,” 9/1

Dunia Itaokoka? 8/1

Dunia Yetu Itaharibiwa? 4/1

Ekaristi, 4/1

Fundisho la Mageuzi Linapatana na Biblia? 1/1

Hali Zitakuwa Nzuri? 8/1

Har–Magedoni, 4/1

Hasira ya Ndugu (Kaini), 7/1

Kizuizi Halisi? (Efe. 2:11-15), 7/1

Kupatanisha Andiko Linalosema, ‘Mle Vitu Vinono’ (Neh. 8:10) na Linalosema, “Msile Mafuta Yoyote” (Law. 3:17), 12/15

Kusoma Kitabu cha Kukunjwa, 4/1

Kusudi la Maisha, 2/1

“Kuwekewa Mikono” (Ebr. 6:2), 9/15

Kwa Nini Wayahudi Walianza Maadhimisho ya Sabato Jioni? 10/1

Kwa Nini Wayahudi Walitawanyika Katika Siku za Yesu? 11/1

Kwa Nini Zekaria Alitabiri Kuanguka kwa Tiro Baada ya Uharibifu? 6/1

Lidia Unatuhusu Leo, 4/1

Machozi Katika Kiriba, 10/1

Mafuta Yenye Marashi Yaliyotumiwa na Maria, 5/1

Maji Yanayobubujika Ili Kutokeza Uhai, 6/1

Makabila ya Israeli Yalikuwa 12 au 13? 7/1

Marko Hakukata Tamaa, 2/1

Mawe ya Hekalu, 8/1

“Merikebu za Tarshishi,” 11/1

Mpendwa Anapokufa, 7/1

Noa na Gharika, 6/1

“Safari ya Siku ya Sabato,” 10/1

Sarafu Mbili za Mjane, 3/1

“Sheria Imekuwa Mtunzaji Wetu,” 3/1

Sulemani Alikuwa na Dhahabu Nyingi Kadiri Gani? 11/1

“Tazama! Kijakazi wa Yehova!” (Maria), 7/1

Tel Aradi, 7/1

Timotheo, 4/1

Tumaini la Wafu, 11/1

Ufalme wa Mungu, 1/1, 5/1

Uharibifu wa Sodoma na Gomora, 3/1

Ukubwa wa Bahari ya Kuyeyushwa, 2/1

Unaogopa Moto wa Mateso? 11/1

‘Uponyaji wa Kimuujiza’ Leo Unatoka kwa Mungu? 12/1

Vita vya Har–Magedoni Vitapiganwa Wapi? 4/1

Wakati Ambapo Sauli Alianza Kuitwa Paulo, 3/1

Wakristo wa Mapema Katika Utamaduni wa Ugiriki, 12/1

Waliopanga Njama ya Kuua Wauawa! (Danieli), 11/1

Wayahudi Wote Watageuka na Kuwa Wakristo? (Ro 11:26), 6/15

Yeriko Lilikuwa Jiji Moja au Majiji Mawili? 5/1

Yesu na Petro Watumia Sarafu Moja Kulipa Kodi ya Hekalu, 2/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Ahadi ya Maana Sana, 3/15

Alikuwa Tayari Kuitetea Imani Yake (msichana wa shule), 6/15

Biblia Inabadili Maisha, 8/1

Jinsi Ambavyo Baraza Linaloongoza Limepangwa, 5/15

Kueneza Habari Njema Katika Milima ya Andes, 3/15

Kuhitimu Gileadi, 2/15, 8/15

Kuhubiri Sokoni, 9/15

Kumtumikia Mungu kwa “Moyo na Nafsi Moja” (michango), 11/15

“Kuongozwa na Roho ya Mungu,” Makusanyiko, 3/1

Kwa Nini Hawaendi Vitani? 7/1

Kwa Nini Hawatumii Msalaba Katika Ibada? 3/1

Kwa Wasomaji Wetu (mambo mapya katika Mnara wa Mlinzi), 1/1

Mshipi Mweusi Ulipofunguliwa, 12/1

Msiba Wakumba Visiwa vya Solomon, 5/1

“Msichana Mwisraeli wa Kisasa,” 6/1

Ni Wao Tu Watakaookolewa? 11/1

Nilijifunza Thamani ya Uhai, 9/1

‘Nitakisoma Kando ya Moto Leo Usiku,’ 6/1

“Sijawahi Kamwe Kuhisi Upendo Kama Huu” (Jamhuri ya Dominika), 3/1

Siku ya Wageni Yenye Kusudi (Afrika Kusini), 11/1

Suluhisho la Hekima (kuhudhuria kusanyiko), 6/15

Toleo la Funzo la Mnara wa Mlinzi, 1/15

Uhuru wa Kweli kwa Wamaya, 12/1

Ujenzi Unaomletea Yehova Sifa (Majumba ya Ufalme Nchini Mexico na Belize), 2/1

“Ukifika Kwenye Mto Coco, Nenda Upande wa Kulia,” 9/1

Walioshambuliwa Watetewa (Jamhuri ya Georgia), 3/1

Wanakubali Agano la Kale? 12/1

Wanavunja Ndoa za Watu? 11/1

MASIMULIZI YA MAISHA

“Ananiongoza Katika Mapito ya Uadilifu”(O. Campbell), 3/1

Hatukuogopa—Yehova Alikuwa Pamoja Nasi (E. Petridou), 7/15

Imani Ilivyonisaidia Kukabiliana na Misiba (S. Castillo), 10/1

Kupata Faraja Baada ya Kukosa Tumaini Ujanani (E. Morcillo), 1/1

Mungu Amenionyesha Rehema (B. Močnik), 7/1

Nilitafuta Makosa Nikapata Kweli (R. S. Marshall), 12/1

Nimeona Kundi la Mungu Likikua Nchini Korea, (M. Hamilton), 12/15

Shangwe Maishani kwa Kufanya Mapenzi ya Yehova (B. Yaremchuk), 6/1

“Usisahau Kamwe Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba” (J. Neufeld), 9/1

“Yehova Ni Nguvu Zangu” (J. Coville), 10/15

YEHOVA

Anaelewa Maumivu Yetu, 5/1

Anarudisha Uhai, 3/1

Anatuona Kuwa Wenye Thamani, 4/1

Baba Asiye na Kifani, 1/1

Chochote ‘Kitutenganishe na Upendo wa Mungu’? 8/1

“Hayuko Mbali Sana,” 7/1

“Iweni Waigaji wa Mungu,” 10/1

Jina la Mungu Liko Katika Agano Jipya? 8/1

Kuna Njia Fulani Hususa Tunayopaswa Kumtumikia Mungu? 6/1

Kuwa Watoto wa Mungu, 3/1

“Kwa Kweli Hilo Ni Jina la Mungu Ambalo Ni Takatifu na Kuu Zaidi,” 10/15

Kwa Nini Anaruhusu Mateso? 2/1

Mchungaji Anayejali, 2/1

Misiba ya Asili ni Adhabu Kutoka Mungu? 5/1

“Mungu wa Faraja Yote,” 9/1

Muumba Anayestahili Sifa Zetu, 12/1

Ni “Jina Lisilopaswa Kutamkwa”? 6/1

Ni Mpenda Haki, 11/1

Ni Vibaya Kutumia Jina la Mungu, 7/1

Tayari Kusamehe, 6/1

Tulitumie Jina la Mungu Ikiwa Hatujui Linavyopaswa Kutamkwa? 9/1

Tunayojifunza Kutoka kwa Yesu, 2/1

Unamfahamu Baba Yako wa Mbinguni? 9/1

Uumbaji Unafunua Nini Kumhusu Mungu, 5/1

Yale Anayotabiri Yehova, 1/1

YESU KRISTO

Alifanya Kazi ya Useremala, 12/1

Alimaanisha Moto wa Mateso? (Marko 9:48), 6/15

Alizungumza Lugha Gani? 8/1

Amponya Kipofu Hatua kwa Hatua, 4/1

Ana Uvutano Gani Maishani Mwako? 12/1

Aponya Kimuujiza, 5/1

Awashangaza Wasikilizaji Wake, 9/1

Jinsi Kifo cha Yesu Kinavyoweza Kukuokoa, 3/1

Kutabiri Kuhusu Masihi, 10/1

Kwa Nini Ilimchukua Siku Nne Kufika Kwenye Kaburi la Lazaro? 1/1

Kwa Nini Pilato Aliogopa Kwamba Yesu “Alijifanya Mwenyewe Kuwa Mwana wa Mungu”? 6/1

Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu? 2/1

Kwa Nini Yudasi Alipewa Vipande 30 vya Fedha? 9/1

“Mungu” au “mungu”? 11/1

Petro Amkana Yesu, 1/1

Tunavyopaswa Kuwatendea Wengine, 8/1

Wanajimu Walienda Kumwona Wakati Gani? 1/1

“Wenye Kutunza Akiba” Watajwa, 12/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki