Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp17 Na. 1 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Mungu husababisha kuteseka?
  • Je, kuteseka kutaisha?
  • Kuteseka Kuteseka
    Amkeni!—2015
  • Swali la 3: Kwa Nini Mungu Anaruhusu Niteseke?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Kwa Nini Mungu Anawaacha Watu Wateseke?
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
  • Ikiwa Muumba Anajali, Mbona Wanadamu Wanateseka Sana?
    Je, Kuna Muumba Anayekujali?
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
wp17 Na. 1 uku. 16
Mwanamke akiwa amembeba mtoto wake wakati wa vita

Wanadamu wanateseka sana, hata hivyo, je, Mungu ndiye anayesababisha?

Biblia Inasema Nini?

Je, Mungu husababisha kuteseka?

Ungejibuje?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Labda

Biblia inasema hivi

“Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu, na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!” (Ayubu 34:10) Mungu hasababishi kamwe kuteseka na uovu tunaouona duniani.

Mambo mengine tunayojifunza katika Biblia

  • Shetani Ibilisi, “mtawala wa ulimwengu,” ndiye chanzo kikuu cha kuteseka. —Yohana 14:30.

  • Nyakati nyingine, maovu na kuteseka husababishwa na maamuzi mabaya ambayo huenda mtu akafanya.—Yakobo 1:14, 15.

Je, kuteseka kutaisha?

Baadhi ya watu husema kwamba wanadamu wanaweza kukomesha kuteseka kwa jitihada zao wenyewe, ilhali wengine hawaamini kuwa hali zilizo duniani zitabadilika. Wewe una maoni gani?

Biblia inasema

Mungu ataondoa kuteseka kote. “Kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.” —Ufunuo 21:3, 4.

Ni nini kingine tunachojifunza katika Biblia?

  • Mungu atamtumia Yesu kukomesha kuteseka kunakosababishwa na Ibilisi. —1 Yohana 3:8.

  • Watu wanaofanya mambo mema wataishi duniani milele.—Zaburi 37:9-11, 29.

Ili ujifunze kwa nini Mungu anaruhusu kuteseka, soma sura ya 11 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Nini Hasa?, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki