Musa na Haruni wakiwa mbele ya Farao
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○ ZIARA YA KWANZAa
Swali: Je, tunaishi katika siku za mwisho?
Andiko: 2Ti 3:1-5
Ziara Inayofuata: Ni nini kitakachotokea baada ya siku za mwisho?
○● ZIARA YA KURUDIA
Swali: Ni nini kitakachotokea baada ya siku za mwisho?
Andiko: Ufu 21:3, 4
Ziara Inayofuata: Tunapaswa kufanya nini ili kufurahia wakati ujao ambao Mungu ameahidi?
a Kuanzia mwezi huu, mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo yatakuwa na ziara ya kwanza na ziara ya kurudia tu