BORESHA HUDUMA YAKO Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo Ziara ya Kwanza Swali: Je, Mungu husikiliza sala? Andiko: Zb 65:2 Ziara Inayofuata: Tunaweza kusali kuhusu nini? Ziara ya Kurudia Swali: Tunaweza kusali kuhusu nini? Andiko: 1Yo 5:14 Ziara Inayofuata: Mungu anajibuje sala zetu?