Mwanzo 37:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Na wakati wale wafanyabiashara Wamidiani+ walikuwa wanapita, wakamutosha Yosefu katika shimo la maji na wakamuuzisha kwa wale Waishmaeli kwa vipande makumi mbili (20) vya feza.+ Wale wanaume wakamupeleka Yosefu Misri.
28 Na wakati wale wafanyabiashara Wamidiani+ walikuwa wanapita, wakamutosha Yosefu katika shimo la maji na wakamuuzisha kwa wale Waishmaeli kwa vipande makumi mbili (20) vya feza.+ Wale wanaume wakamupeleka Yosefu Misri.