TAREHE 4-10/8
MEZALI 25
Wimbo 154 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
Yesu iko mu sinagogi ya Nazareti na anashangaza batu na maneno yenye iko nasema kwa fazili
1. Mashauri ya Hekima Juu ya Kusema
(Dak. 10)
Tafuta wakati yenye kufaa juu ya kusema (Mez 25:11; w15 15/12 uku. 18 fu. 6-7)
Sema kwa upole (Mez 25:15; w15 15/12 uku. 20-21 fu. 15-16; ona picha)
Sema maneno yenye kutia moyo (Mez 25:25; w95-SW 1/4 uku. 17 fu. 8)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 25:28—Hii andiko inamaanisha nini? (it-1 uku. 670)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 25:1-17 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha mazungumuzo na mutu mwenye iko na huzuni. (lmd somo ya 3 nukta ya 3)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mutu anakuambia kama iko na dini yake na hawezi kuiacha. (lmd somo ya 8 nukta ya 4)
6. Hotuba
(Dak. 5) ijwyp habari ya 23—Kichwa: Nifanye Nini Kama Batu Biko Nanisema Mubaya? (th somo ya 13)
Wimbo 123
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 6, utangulizi wa sehemu ya 3, na somo ya 7