-
Mambo ya Walawi 24:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 2 “Uamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zenye kupondwa, ili taa ziendelee kuwaka kila wakati.+ 3 Katika hema ya mukutano, inje ya pazia la Ushuhuda, Haruni atafanya mipango ili taa hizo ziendelee kuwaka kila wakati kuanzia mangaribi mupaka asubui mbele ya Yehova. Hiyo ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.
-