2 Wamechukua wamoja kati ya mabinti wa mataifa hayo kuwa bibi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao.+ Sasa wao, uzao mutakatifu,+ wamechanganyika na vikundi vya watu vya inchi hizo.+ Wakubwa na watawala-wasaidizi wamekuwa wa kwanza katika kufanya ukosefu huu wa uaminifu.”