Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha Lea akasema: “Nimefurahi sana! Kwa maana hakika mabinti watanitangaza kuwa mwenye furaha.”+ Kwa hiyo akamupatia jina Asheri.*+

  • Mwanzo 35:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Na wana wa Zilpa, mutumishi wa Lea, walikuwa Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo wenye alizaa kule Padan-aramu.

  • Mwanzo 46:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Wana wa Asheri+ walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, Beria, na dada yao alikuwa Sera.

      Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 Wana wa Asheri walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria,+ na dada yao alikuwa Sera.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine