Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kwa maana nimepatia Walawi sehemu moja ya kumi (1/10) yenye watu wa Israeli wanamutolea Yehova kuwa muchango ili ikuwe uriti wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswe kukamata uriti kati ya Waisraeli.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 10:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Ndiyo maana Lawi hakupewa fungu wala uriti pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye uriti wake, kama vile Yehova Mungu wako alikuwa amemuambia.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Na usimuzarau Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yako,+ kwa sababu hakupewa fungu wala uriti pamoja na wewe.+

  • Yoshua 14:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Musa alikuwa amepatia makabila mbili na nusu uriti ngambo ingine* ya Yordani,+ lakini hakupatia Walawi uriti kati yao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine