-
Hesabu 18:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kwa maana nimepatia Walawi sehemu moja ya kumi (1/10) yenye watu wa Israeli wanamutolea Yehova kuwa muchango ili ikuwe uriti wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswe kukamata uriti kati ya Waisraeli.’”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 10:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Ndiyo maana Lawi hakupewa fungu wala uriti pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye uriti wake, kama vile Yehova Mungu wako alikuwa amemuambia.+
-