Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:29, 30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili,+ ndiyo, watu wote katikati yenu kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi wenye waliandikishwa, ninyi wote wenye mumeninungunikia.+ 30 Hakuna mutu kati yenu mwenye ataingia katika inchi yenye niliapa* kwamba mutaishi ndani yake+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+

  • Yoshua 14:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Ndiyo sababu eneo la Hebroni limekuwa uriti wa Kalebu mwana wa Yefune Mukenizi mupaka leo, kwa sababu alimufuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+

  • Yoshua 19:49
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 49 Basi wakamaliza kugawanya inchi ya uriti kulingana na maeneo yake. Kisha Waisraeli wakapatia Yoshua mwana wa Nuni uriti katikati yao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine