-
Hesabu 14:29, 30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili,+ ndiyo, watu wote katikati yenu kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi wenye waliandikishwa, ninyi wote wenye mumeninungunikia.+ 30 Hakuna mutu kati yenu mwenye ataingia katika inchi yenye niliapa* kwamba mutaishi ndani yake+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
-
-
Yoshua 14:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Ndiyo sababu eneo la Hebroni limekuwa uriti wa Kalebu mwana wa Yefune Mukenizi mupaka leo, kwa sababu alimufuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+
-
-
Yoshua 19:49Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
49 Basi wakamaliza kugawanya inchi ya uriti kulingana na maeneo yake. Kisha Waisraeli wakapatia Yoshua mwana wa Nuni uriti katikati yao.
-