Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Musa akamuambia baba-mukwe wake: “Ni kwa sababu watu wanaendelea kuja kwangu ili kuuliza habari kutoka kwa Mungu. 16 Wakati kesi fulani ya hukumu inatokea, inaletwa kwangu na ninapaswa kuhukumu kati ya mutu na mwenzake, na ninawajulisha maamuzi ya Mungu wa kweli na sheria zake.”+

  • Kutoka 33:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Yehova alikuwa anazungumuza na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anazungumuza na mwanadamu mwingine. Wakati Musa alirudia katika kambi, Yoshua+ mwana wa Nuni, mwenye alikuwa muhudumu na mutumishi wake,+ hakukuwa anatoka katika hema.

  • Mambo ya Walawi 24:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Mwana huyo wa mwanamuke Mwisraeli akaanza kutukana lile Jina* na kulilaani.*+ Kwa hiyo wakamuleta mbele ya Musa.+ Kumbe mama yake alikuwa Shelomiti, binti ya Dibri wa kabila la Dani. 12 Wakamutia katika kifungo mupaka wakati walijulishwa uamuzi wa Yehova.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine