Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 8:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Alifuata utaratibu wa kila siku na akatoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya Sabato,+ miezi mipya,+ na sikukuu zenye ziliwekwa mara tatu (3) katika mwaka+⁠—​Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu,+ Sikukuu ya Majuma,+ na Sikukuu ya Vibanda.*+

  • Nehemia 10:32, 33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Pia, tuliweka amri juu yetu wenyewe kwamba kila mumoja wetu anapaswa kutoa sehemu moja ya tatu (1/3) ya shekeli* kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya* Mungu wetu,+ 33 na kwa ajili ya mikate yenye kupangwa moja juu ya ingine,*+ toleo la nafaka lenye linatolewa kwa ukawaida,+ toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida la Sabato mbalimbali+ na miezi mipya,+ na kwa ajili ya sikukuu zenye kuwekwa,+ kwa ajili ya vitu vitakatifu, kwa ajili ya matoleo ya zambi+ ili kufunika zambi kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine