-
Nehemia 10:32, 33Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Pia, tuliweka amri juu yetu wenyewe kwamba kila mumoja wetu anapaswa kutoa sehemu moja ya tatu (1/3) ya shekeli* kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya* Mungu wetu,+ 33 na kwa ajili ya mikate yenye kupangwa moja juu ya ingine,*+ toleo la nafaka lenye linatolewa kwa ukawaida,+ toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida la Sabato mbalimbali+ na miezi mipya,+ na kwa ajili ya sikukuu zenye kuwekwa,+ kwa ajili ya vitu vitakatifu, kwa ajili ya matoleo ya zambi+ ili kufunika zambi kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
-