-
Mambo ya Walawi 1:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Atasafisha matumbotumbo na miguu yake kwa maji, na kuhani atavileta vyote na kuvichoma ili vitoe moshi juu ya mazabahu. Ni toleo la kuteketezwa, toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.
-