8 “‘Lakini kama munamutolea Yehova munyama dume kutoka katika mifugo ili akuwe toleo la kuteketezwa+ ao zabihu ya kutimiza naziri ya pekee+ ao zabihu za ushirika,+
10 Munapaswa pia kutoa divai ili kuwa toleo la kinywaji,+ nusu ya hini, kuwa toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto, kuwa harufu ya kumupendeza* Yehova.