-
Hesabu 15:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Pia munapaswa kutoa divai ili kuwa toleo la kinywaji, sehemu moja ya ine (1/4) ya hini, pamoja na toleo la kuteketezwa+ ao kwa ajili ya zabihu ya kila mwana-kondoo dume.
-