Mambo ya Walawi 23:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Mutahesabu siku makumi tano (50)+ mupaka siku yenye inafuata Sabato ya saba (7), na kisha mutamutolea Yehova toleo mupya la nafaka.+ Mambo ya Walawi 23:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Na munapaswa kutoa mwana-mbuzi mumoja kwa ajili ya toleo la zambi+ na wana-kondoo dume wawili, kila mumoja anapaswa kuwa na mwaka mumoja, ili wakuwe zabihu ya ushirika.+
16 Mutahesabu siku makumi tano (50)+ mupaka siku yenye inafuata Sabato ya saba (7), na kisha mutamutolea Yehova toleo mupya la nafaka.+
19 Na munapaswa kutoa mwana-mbuzi mumoja kwa ajili ya toleo la zambi+ na wana-kondoo dume wawili, kila mumoja anapaswa kuwa na mwaka mumoja, ili wakuwe zabihu ya ushirika.+