-
Mambo ya Walawi 23:24, 25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 “Waambie Waisraeli, ‘Katika mwezi wa saba (7), siku ya kwanza ya mwezi huo, mutakuwa na pumuziko kamili, ukumbusho wenye utatangazwa kwa kupiga tarumbeta,+ mukusanyiko mutakatifu. 25 Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu, na mutamutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto.’”
-