-
Hesabu 28:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Ni toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida,+ lenye lilianzishwa kwenye Mulima Sinai kuwa harufu ya muzuri,* toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, 7 pamoja na toleo lake la kinywaji, sehemu moja ya ine (1/4) ya hini kwa ajili ya kila mwana-kondoo dume.+ Umwange pombe katika mahali patakatifu kuwa toleo la kinywaji kwa ajili ya Yehova.
-