Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 “‘Kama toleo lake ni toleo la kuteketezwa kutoka katika mifugo, anapaswa kutoa munyama dume mwenye hana kasoro.+ Anapaswa kumutoa kwa kupenda kwake mwenyewe+ mbele ya Yehova kwenye muingilio wa hema ya mukutano.

  • Mambo ya Walawi 22:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Munyama yeyote wa toleo hapaswe kuwa kipofu, mwenye kuvunjika, mwenye mukato, mwenye kivimba, mwenye vigaga,* ao mwenye imba; hamupaswe kumutolea Yehova munyama yeyote katikati ya wanyama hao ao kumutolea Yehova toleo la namna hiyo kwenye mazabahu.

  • Kumbukumbu la Torati 15:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini kama iko* na kasoro⁠—​ulemavu, upofu, ao kasoro ingine kubwa⁠—​haupaswe kumutoa zabihu kwa Yehova Mungu wako.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 “Haupaswe kumutolea Yehova Mungu wako zabihu ya ngombe-dume ao kondoo mwenye kasoro ao mwenye kuwa na tatizo lolote, kwa sababu jambo hilo litakuwa chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine