-
Mambo ya Walawi 22:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Munyama yeyote wa toleo hapaswe kuwa kipofu, mwenye kuvunjika, mwenye mukato, mwenye kivimba, mwenye vigaga,* ao mwenye imba; hamupaswe kumutolea Yehova munyama yeyote katikati ya wanyama hao ao kumutolea Yehova toleo la namna hiyo kwenye mazabahu.
-
-
Kumbukumbu la Torati 17:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 “Haupaswe kumutolea Yehova Mungu wako zabihu ya ngombe-dume ao kondoo mwenye kasoro ao mwenye kuwa na tatizo lolote, kwa sababu jambo hilo litakuwa chukizo kwa Yehova Mungu wako.+
-