-
Mwanzo 48:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Kwa hiyo akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ kwa kusema:
“Israeli ataje jina lenu wakati wanatangaza baraka, wakisema,
‘Mungu akufanye kuwa kama Efraimu na Manase.’”
Hivyo akaendelea kumuweka Efraimu mbele ya Manase.
-