-
Mambo ya Walawi 23:36Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
36 Kwa siku saba (7) munapaswa kumutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Siku ya munane (8), mutafanya mukusanyiko mutakatifu,+ na munapaswa kumutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Ni mukusanyiko mukubwa. Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.
-