Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Kwa siku saba (7) munapaswa kumutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Siku ya munane (8), mutafanya mukusanyiko mutakatifu,+ na munapaswa kumutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Ni mukusanyiko mukubwa. Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.

  • Mambo ya Walawi 23:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Lakini, siku ya kumi na tano (15) ya mwezi wa saba (7), wakati mutakuwa mumekusanya mazao ya inchi, mutafanya sikukuu ya Yehova kwa siku saba.+ Siku ya kwanza ni pumuziko kamili na siku ya munane (8) ni pumuziko kamili.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine