Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kwa hiyo wazee wa Moabu na wazee wa Midiani wakasafiri na malipo ya uaguzi katika mikono yao na kuenda kwa Balaamu+ na wakamuambia maneno ya Balaki.

  • Hesabu 25:1-3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Wakati Israeli alikuwa anakaa Shitimu,+ watu walianza kufanya uasherati na mabinti wa Moabu.+ 2 Wanamuke hao walialika watu kwenye zabihu za miungu yao,+ na watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+ 3 Kwa hiyo Israeli akajiunga na ibada ya* Baali wa Peori,+ na Yehova akakasirikia Israeli.

  • Hesabu 25:17, 18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 “Mushambulie Wamidiani na muwapige na kuwaua,+ 18 kwa sababu wamekuwa wakiwasumbua kupitia njia zao za udanganyifu katika jambo la Peori+ na pia kuhusu Kozbi binti ya mukubwa wa Midiani, dada yao mwenye aliuawa+ ile siku ya pigo katika jambo la Peori.”+

  • 1 Wakorinto 10:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Na tusifanye uasherati,* kama vile wamoja kati yao walifanya uasherati,* na elfu makumi mbili na tatu (23 000) kati yao wakaanguka kwa siku moja.+

  • Ufunuo 2:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “‘Lakini, niko na mambo kidogo juu yako, kwamba uko pale na wale wenye wanafuata fundisho la Balaamu,+ mwenye alifundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, kula vitu vyenye vilitolewa zabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine