-
Kumbukumbu la Torati 32:48-50Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
48 Yehova akasema na Musa siku ileile, na kumuambia: 49 “Panda juu ya mulima huu wa Abarimu,+ Mulima Nebo,+ wenye kuwa katika inchi ya Moabu, wenye unaangaliana na Yeriko, na uangalie inchi ya Kanaani, yenye ninapatia Waisraeli kuwa mali yao.+ 50 Kisha utakufa juu ya mulima wenye utapanda sasa hivi, na utakusanywa kwa watu wako,* kama vile Haruni ndugu yako alikufa juu ya Mulima Hori+ na akakusanywa kwa watu wake,
-