Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Panda katika mulima huu wa Abarimu,+ na uone inchi yenye nitapatia Waisraeli.+ 13 Kisha kuiona, utakusanywa pia kwa watu wako,*+ kama vile Haruni ndugu yako alikusanywa,+

  • Kumbukumbu la Torati 32:48-50
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 48 Yehova akasema na Musa siku ileile, na kumuambia: 49 “Panda juu ya mulima huu wa Abarimu,+ Mulima Nebo,+ wenye kuwa katika inchi ya Moabu, wenye unaangaliana na Yeriko, na uangalie inchi ya Kanaani, yenye ninapatia Waisraeli kuwa mali yao.+ 50 Kisha utakufa juu ya mulima wenye utapanda sasa hivi, na utakusanywa kwa watu wako,* kama vile Haruni ndugu yako alikufa juu ya Mulima Hori+ na akakusanywa kwa watu wake,

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine