-
Hesabu 4:24-26Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Hivi ndivyo vitu vyenye familia za Wagershoni zimepewa ili wavitunze na kuvibeba:+ 25 Watabeba vitambaa vya tabenakulo,+ hema ya mukutano, kifuniko chake na kifuniko cha ngozi ya sili* chenye kuwa juu yake,+ kitambaa cha kuficha cha* muingilio wa hema ya mukutano,+ 26 mapazia yenye kuninginia ya kiwanja,+ kitambaa cha kuficha cha* muingilio wa kiwanja+ chenye kinazunguka tabenakulo na mazabahu, kamba zake na vyombo vyake vyote na kila kitu chenye kinatumiwa katika utumishi wa tabenakulo. Hiyo ndiyo kazi yenye wamepewa.
-