Hesabu 19:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 “‘Lakini mutu mwenye haiko safi na mwenye hatajitakasa, mutu huyo anapaswa* kuondolewa* katikati ya kutaniko,+ kwa sababu amechafua patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa* juu yake, kwa hiyo yeye haiko safi.
20 “‘Lakini mutu mwenye haiko safi na mwenye hatajitakasa, mutu huyo anapaswa* kuondolewa* katikati ya kutaniko,+ kwa sababu amechafua patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa* juu yake, kwa hiyo yeye haiko safi.