-
Hesabu 19:19, 20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Mutu mwenye kuwa safi atanyunyiza* maji hayo juu ya mutu mwenye haiko safi siku ya tatu (3) na siku ya saba (7), na atamutakasa zambi yake siku ya saba;+ kisha atafua nguo zake na kuoga ndani ya maji, na atakuwa safi mangaribi.
20 “‘Lakini mutu mwenye haiko safi na mwenye hatajitakasa, mutu huyo anapaswa* kuondolewa* katikati ya kutaniko,+ kwa sababu amechafua patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa* juu yake, kwa hiyo yeye haiko safi.
-