Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 19:19, 20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Mutu mwenye kuwa safi atanyunyiza* maji hayo juu ya mutu mwenye haiko safi siku ya tatu (3) na siku ya saba (7), na atamutakasa zambi yake siku ya saba;+ kisha atafua nguo zake na kuoga ndani ya maji, na atakuwa safi mangaribi.

      20 “‘Lakini mutu mwenye haiko safi na mwenye hatajitakasa, mutu huyo anapaswa* kuondolewa* katikati ya kutaniko,+ kwa sababu amechafua patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa* juu yake, kwa hiyo yeye haiko safi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine