-
Hesabu 26:63, 64Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
63 Hao ndio waliandikishwa na Musa na Eleazari kuhani wakati waliandikisha Waisraeli katika maeneo tambarare ya jangwa la Moabu karibu na Yordani kule Yeriko. 64 Lakini hakuna hata mumoja kati yao mwenye alikuwa ameandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati walihesabia Waisraeli katika jangwa la Sinai.+
-