Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:63, 64
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 63 Hao ndio waliandikishwa na Musa na Eleazari kuhani wakati waliandikisha Waisraeli katika maeneo tambarare ya jangwa la Moabu karibu na Yordani kule Yeriko. 64 Lakini hakuna hata mumoja kati yao mwenye alikuwa ameandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati walihesabia Waisraeli katika jangwa la Sinai.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Tulitembea miaka makumi tatu na munane (38) kutoka Kadesh-barnea mupaka wakati tulivuka Bonde* la Zeredi, mupaka wakati kizazi chote cha wanaume wa vita kiliangamia katika kambi, kama vile Yehova alikuwa amewaapia.+

  • 1 Wakorinto 10:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana walipigwa na kuuawa katika jangwa.+

  • Waebrania 3:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na nani kwa miaka makumi ine (40)?+ Je, haiko na wale wenye walifanya zambi, wenye maiti zao zilianguka katika jangwa?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine