Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Na nusu ya kabila la Manase+ nimeipatia sehemu yenye kubakia ya Gileadi na eneo lote la Bashani la ufalme wa Ogu. Eneo lote la Argobu, la Bashani, lilijulikana kuwa inchi ya Warefaimu.

  • Yoshua 13:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Na nusu ya eneo la Gileadi, na Ashtaroti na Edrei,+ miji ya Mufalme Ogu kule Bashani, ilipewa wana wa Makiri+ mwana wa Manase, nusu ya wana wa Makiri kulingana na familia zao.

  • Yoshua 17:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kisha kura+ ikaangukia watu wa kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa muzaliwa wa kwanza wa Yosefu.+ Kwa kuwa Makiri,+ muzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa mwanaume wa vita, alipewa inchi ya Gileadi na Bashani.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine