29 Tena, Musa akapatia nusu ya kabila la Manase uriti, ukakuwa uriti wa nusu ya kabila la Manase kulingana na familia zao.+ 30 Na eneo lao lilianzia Mahanaimu+ na eneo lote la Bashani, eneo lote la Mufalme Ogu wa Bashani, na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ kule Bashani, miji makumi sita (60).