Yoshua 24:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kisha wakati fulani nilituma Musa na Haruni,+ na nilipiga Misri kupitia mambo yenye nilifanya kati yao,+ na kisha nikawatosha kule. 1 Samweli 12:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 “Wakati tu Yakobo alikuwa ameingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumuomba Yehova awasaidie,+ Yehova alituma Musa+ na Haruni ili waongoze mababu zenu kutoka Misri na wawafanye waishi mahali hapa.+
5 Kisha wakati fulani nilituma Musa na Haruni,+ na nilipiga Misri kupitia mambo yenye nilifanya kati yao,+ na kisha nikawatosha kule.
8 “Wakati tu Yakobo alikuwa ameingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumuomba Yehova awasaidie,+ Yehova alituma Musa+ na Haruni ili waongoze mababu zenu kutoka Misri na wawafanye waishi mahali hapa.+