20Katika mwezi wa kwanza, mukusanyiko wote wa Waisraeli ulifika katika jangwa la Zini, na watu wakaanza kukaa Kadeshi.+ Ni pale Miriamu+ alikufia na kuzikwa.
14 kwa sababu wakati mukusanyiko ulikuwa unagombana na mimi katika jangwa la Zini, muliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao kupitia maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ kule Kadeshi+ katika jangwa la Zini.”+
51 kwa sababu ninyi wote wawili hamukukuwa waaminifu kwangu kati ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika jangwa la Zini, kwa sababu hamukunitakasa mbele ya watu wa Israeli.+
15Inchi yenye watu wa kabila la Yuda walipewa kwa kura+ kwa ajili ya familia zao ilifika kwenye mupaka wa Edomu,+ jangwa la Zini, mupaka Negebu, kwenye mwisho wa upande wake wa kusini.