Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Katika mwezi wa kwanza, mukusanyiko wote wa Waisraeli ulifika katika jangwa la Zini, na watu wakaanza kukaa Kadeshi.+ Ni pale Miriamu+ alikufia na kuzikwa.

  • Hesabu 27:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 kwa sababu wakati mukusanyiko ulikuwa unagombana na mimi katika jangwa la Zini, muliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao kupitia maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ kule Kadeshi+ katika jangwa la Zini.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:51
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 kwa sababu ninyi wote wawili hamukukuwa waaminifu kwangu kati ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika jangwa la Zini, kwa sababu hamukunitakasa mbele ya watu wa Israeli.+

  • Yoshua 15:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Inchi yenye watu wa kabila la Yuda walipewa kwa kura+ kwa ajili ya familia zao ilifika kwenye mupaka wa Edomu,+ jangwa la Zini, mupaka Negebu, kwenye mwisho wa upande wake wa kusini.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine