Hesabu 27:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Panda katika mulima huu wa Abarimu,+ na uone inchi yenye nitapatia Waisraeli.+ Kumbukumbu la Torati 32:48, 49 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 48 Yehova akasema na Musa siku ileile, na kumuambia: 49 “Panda juu ya mulima huu wa Abarimu,+ Mulima Nebo,+ wenye kuwa katika inchi ya Moabu, wenye unaangaliana na Yeriko, na uangalie inchi ya Kanaani, yenye ninapatia Waisraeli kuwa mali yao.+
12 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Panda katika mulima huu wa Abarimu,+ na uone inchi yenye nitapatia Waisraeli.+
48 Yehova akasema na Musa siku ileile, na kumuambia: 49 “Panda juu ya mulima huu wa Abarimu,+ Mulima Nebo,+ wenye kuwa katika inchi ya Moabu, wenye unaangaliana na Yeriko, na uangalie inchi ya Kanaani, yenye ninapatia Waisraeli kuwa mali yao.+