15Inchi yenye watu wa kabila la Yuda walipewa kwa kura+ kwa ajili ya familia zao ilifika kwenye mupaka wa Edomu,+ jangwa la Zini, mupaka Negebu, kwenye mwisho wa upande wake wa kusini.
16Na inchi yenye wazao wa Yosefu+ waligawiwa kwa kura+ ilianzia Yordani kule Yeriko mupaka kwenye maji yenye kuwa upande wa mashariki wa Yeriko, ilipita katika jangwa lenye kupanda kuanzia Yeriko mupaka eneo lenye milima la Beteli.+