18 Siku hiyo Yehova akafanya agano pamoja na Abramu,+ na kusema: “Nitapatia uzao wako* inchi hii,+ kutoka muto wa Misri mupaka ule muto mukubwa, muto Efrati:+
8 Na nitakupatia wewe na uzao wako* kisha wewe inchi yenye umeishi ndani yake ukiwa mugeni+—inchi yote ya Kanaani—ili ikuwe uriti wa kudumu, na mimi nitakuwa Mungu wao.”+