Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Basi mupaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni kufikia Gerari,+ karibu na Gaza,+ kufikia Sodoma, Gomora,+ Adma, Seboimu,+ karibu na Lasha.

  • Kumbukumbu la Torati 4:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Alifukuza mbele yako mataifa makubwa sana na yenye nguvu sana kuliko wewe, ili akuingize na kukupatia inchi yao kuwa uriti, kama vile hali iko leo.+

  • Yoshua 1:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Eneo lenu litaanzia kwenye jangwa mupaka Lebanoni na mupaka kwenye ule muto mukubwa, Efrati⁠—inchi yote ya Wahiti+⁠—​na mupaka kwenye Bahari Kubwa,* upande wa mangaribi.*+

  • Yoshua 14:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Basi haya ndiyo maeneo yenye Waisraeli walikamata kuwa uriti katika inchi ya Kanaani, yenye Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makabila ya Israeli walipatia Waisraeli kuwa uriti.+

  • Yeremia 3:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Na nilifikiri, ‘Namna nilikuweka kati ya wana na kukupatia inchi yenye kutamanika, uriti muzuri zaidi kati ya mataifa!’*+ Pia nilifikiri mutaniita, ‘Baba yangu!’ na kwamba hamutageuka na kuacha kunifuata.

  • Matendo 17:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Na kutoka kwa mutu mumoja,+ alifanya kila taifa la watu ili wakae juu ya uso wa dunia yote,+ na akaamuru nyakati zenye ziliwekwa na akaweka mipaka ya makao ya watu,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine