-
Kumbukumbu la Torati 3:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Na Warubeni na Wagadi+ nimewapatia kuanzia Gileadi mupaka kwenye Bonde la Arnoni,* katikati ya bonde ndio mupaka, kufikia Yaboki, bonde lenye ni mupaka wa Waamoni, 17 na Araba na Yordani na ule mupaka, kuanzia Kinereti kufikia kwenye Bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,* kwenye sehemu ya chini ya miteremuko ya Pisga kuelekea upande wa mashariki.+
-
-
Yoshua 11:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakati tu Yabini mufalme wa Hasori alisikia habari hizo, akatuma ujumbe kwa Yobabu mufalme wa Madoni,+ na kwa mufalme wa Shimroni, na kwa mufalme wa Akshafi,+ 2 na kwa wafalme wa eneo la kaskazini lenye milima, na wa maeneo tambarare* upande wa kusini wa Kinereti, na kwa wale wenye walikuwa Shefela na kwenye miteremuko ya Dori+ upande wa mangaribi,
-
-
Yohana 6:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Kisha mambo hayo Yesu akatoka na kuvuka Bahari ya Galilaya, ao Tiberia.+
-