Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Kichwa cha wakubwa wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, mwenye alikuwa mwangalizi juu ya wale wenye walipaswa kufanya kazi za mahali patakatifu.

  • Hesabu 20:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Vua Haruni nguo zake+ na umuvalishe Eleazari+ mwana wake, na Haruni atakufia kule.”*

  • Yoshua 14:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Basi haya ndiyo maeneo yenye Waisraeli walikamata kuwa uriti katika inchi ya Kanaani, yenye Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makabila ya Israeli walipatia Waisraeli kuwa uriti.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine