-
Hesabu 3:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Kichwa cha wakubwa wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, mwenye alikuwa mwangalizi juu ya wale wenye walipaswa kufanya kazi za mahali patakatifu.
-
-
Yoshua 14:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Basi haya ndiyo maeneo yenye Waisraeli walikamata kuwa uriti katika inchi ya Kanaani, yenye Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makabila ya Israeli walipatia Waisraeli kuwa uriti.+
-