Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, wenye walikuwa kati ya wale wenye walienda ili kupeleleza inchi, hakika wataendelea kuishi.”’”+

  • Hesabu 27:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamuambia Musa: “Chukua Yoshua mwana wa Nuni, mwanaume mwenye roho iko ndani yake, na utie mukono wako juu yake.+

  • Yoshua 19:51
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 Huo ndio uriti wenye Eleazari kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makabila ya Israeli waligawanya+ kwa kura kule Shilo+ mbele ya Yehova, kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+ Basi wakamaliza kugawanya inchi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine