5 Sasa wana wako wawili wenye ulizaa katika inchi ya Misri mbele nifike kwako ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama vile Rubeni na Simeoni ni wangu.+
16Na inchi yenye wazao wa Yosefu+ waligawiwa kwa kura+ ilianzia Yordani kule Yeriko mupaka kwenye maji yenye kuwa upande wa mashariki wa Yeriko, ilipita katika jangwa lenye kupanda kuanzia Yeriko mupaka eneo lenye milima la Beteli.+