Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 34:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Na mutakamata mukubwa mumoja katika kila kabila ili kugawanya inchi kuwa uriti wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Wakati Mwenye Kuwa Juu Zaidi alipatia mataifa uriti wao,+

      Wakati alitenganisha wana wa Adamu,*+

      Aliweka mupaka wa vikundi vya watu+

      Kulingana na hesabu ya wana wa Israeli.+

  • Yoshua 19:51
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 51 Huo ndio uriti wenye Eleazari kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makabila ya Israeli waligawanya+ kwa kura kule Shilo+ mbele ya Yehova, kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+ Basi wakamaliza kugawanya inchi.

  • Matendo 17:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Na kutoka kwa mutu mumoja,+ alifanya kila taifa la watu ili wakae juu ya uso wa dunia yote,+ na akaamuru nyakati zenye ziliwekwa na akaweka mipaka ya makao ya watu,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine